Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Uache kushinda kwenye mitandao na kufanya umbea. Ukipata nafasi ya kusoma soma kweli kweli! Kila jambo na wakati wake. Ila pole jiandae kwa kurudia mwaka kama hicho chuo kina utaratibu huo
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Itakua jamaaa kashapigwaa BURN.
MBONA KAPIGA KIMYA.
 
HIVI WACHANGIAJI WOTE HATA HAMJIULIZI HIZO SUPU NI ZA SEMISTA IPI????????
SABABU MNAMO TAREHE 12/02/2017
Mtoa mada alitoa post humu jukwaani ikionyesha yuko maandalizi ya UE na mtoto mzuri.
Usije kuwa mtu anatafuta kiki hapa wakati watu mko siriazi kumshauri.
 
Ulifikiri chuo ni sehemu ya michezo,hapo mkuu umeisha Disco live sioni namna ya kutoka tena.Pole sana
 
Nama
Nafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
nashaka na Chuo unacho soma mkuu!!!!!
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
kubet ni tatizo kubwa kwa vijana wa mijini.....hapo kwasasa umedisco!Jiingize kwenye siasa ujaribu bahati yako!
 
Sijajua upo mwaka wa ngapi na chuo gani? Udsm ukifeli nusu ya masomo yote kwa semester unakuwa umedisco, haina mjadala. Sijui vyuo vingine. Hata hivyo kama serikali ya wanafunzi ni imara watakutetea uweze kusup
 
Back
Top Bottom