Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,638
- 3,850
Hahahahahah aka kweli watu wanajua kufukua.... Nmejikuta na chekaAu ni sababu ya vile vikojoleo mlivyoviunganisha?
Nimebahatika kupata mke
Hahahahahah aka kweli watu wanajua kufukua.... Nmejikuta na chekaAu ni sababu ya vile vikojoleo mlivyoviunganisha?
Nimebahatika kupata mke
Mimi hapaa bishoo na nakula msulii ilee mbaya kuliko hao wagumu...njoo COet utankutaHakuna bishoo ambaye anjituma kitabuni zaidi nimadem tu
Itakua jamaaa kashapigwaa BURN.Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Itakua jamaaa kashapigwaa BURN.
MBONA KAPIGA KIMYA.
Siumeelewaaa auuuBAN?
HajApigwa BAN jamaa atakuwa anamalizia UE aliyoitabiria sapuItakua jamaaa kashapigwaa BURN.
MBONA KAPIGA KIMYA.
Shukrani mkuuPole ila unaweza kusapua na kuendelea jiamini boy wee mwanaume
Sipo hukohuyoo jamaa muongoo anacheza na akili zenuu....hamna chuo ambacho wametoa matokeo ya first semester...
huyo yuko ARDH environmental eng..chuoni kwao ndo kwanza wako kwenye UE naw....!!
hizo sup zote umepata ndani ya semister moja? kama ni semister moja yote hayo basi hapo umedisco asee..Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Ubarikiwe sana mkuuNenda kapambane(kafanye hizo sup)usikate tamaa...utakaza mwaka unafuata ili kupata average nzuri ya GPA mwishoni masomo yako
nashaka na Chuo unacho soma mkuu!!!!!Nafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
kubet ni tatizo kubwa kwa vijana wa mijini.....hapo kwasasa umedisco!Jiingize kwenye siasa ujaribu bahati yako!Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Kwani wanaolima SHAMBA ndio vilaza au.... Au Mimi sijakuelewaWewe utakuwa ni kiraza wa hatari, achakusoma rudi shamba ukalime