Nimepata pigo naomba ushauri

Uliuona ule uzi mama mmpja huko Kenya anasoma na watoto wake shule ya msingi? Unajuwa anawazidi miaka mingapi?
 

Asante mummy!!!!
 
Da yaani bado utakuwa una mawazo ya kitoto nakumbuka wazee niliokuwa nao chuo tunasoma nao halafu mbaya zaidi wanatumia nondo hataree akina mama wanaandika vibuti ktk mapaja anatoa uku unamwangalia anakwambia tulia dogo. Ss ww unaona noma kusoma uku unatumia akili zako!
 
Muhimu nenda kakazane na masomo, sababu hao wakikupita kwa marks si ndio utakimbia shule.

Kuwa tayari kwa mapambano ya kusona na usijali kama hao wadogo kwako wakipata % kubwa zaidi yako. Wewe kasome kwa umri huo hamtaweza juana nani mkubwa kuliko nani labda ujitangaze au wakiona umemind uliowaacha ulipotoka wataviongea.

Kuwa mgumu umuhimu kupasi ndugu hao dogo wana akili pia. So wachukulie kama mko sawa and enjoy studying.
 
We dogo huna akili sawasawa. Basi usiende ili usije kumaliza chuo na umri mkubwa na usisome na watoto wadogo unaowazidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…