Nimepata Muujiza Mkubwa sana katika Mahusiano yangu...Nashukuru

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Nimeona niliseme hili kwa maana siku zote huwa nawaza na leo nikaona nishirikiane nanyi ndugu zangu. nimeoa muda sasa na nina watoto wawili.

Muujiza wangu ni kuwa Mimi ni mmoja kati ya wanaume wachache ambao wameona Wake wazuri na wenye Akili. Ni ngumu sana kukuta hivi vitu viwili wimeshikamana au ongozana kwa mwanamke. 1. Uzuri. 2. Akili. huwezi pata. ni Nadra sana kutokea. wengi wanakuwa wabaya yaani hawana mvuto sana ila wana akili na wengine asilimia kubwa unakuta ni mzuri au mrembo ila kichwani Empty kabisa. na hawa ndo asilimia kubwa sana.

Muujiza wangu ni kuwa nimepata vyote. mke mzuri, sexy,mrembo na ana akili sana. mpaka najiuliza nina bahati gani duniani?
 
stunter unaweza muweka mkeo humu????????????? ha ha ha..hapana ila ni mwanamke ambaye katika wanaume 10 wote au 9 watasema ni mzuri sana. umbo,rangi na sura. zaid zaid na akili.
Unataka hadi watu wakuombe picha? Au hujui wajibu wako mkuu?
 
we nakuona kwa picha tu sijajua huko kwingine kukoje... maeneo mbalimbali na... unajua aisifuye mvua imemnyeshea. mimi nimenyeshewa dada. huyu wife nashindwa hata kutoka nje kwa sasa.... maana siamini kama kuna mtu mwingine ana utamu zaidi yake. halafu unazidi kila siku..................


Ni mzuri kama mimi?
 
we nakuona kwa picha tu sijajua huko kwingine kukoje... maeneo mbalimbali na... unajua aisifuye mvua imemnyeshea. mimi nimenyeshewa dada. huyu wife nashindwa hata kutoka nje kwa sasa.... maana siamini kama kuna mtu mwingine ana utamu zaidi yake. halafu unazidi kila siku..................
Makubwa, msalimie basi wifi yangu.
 
uwajui wanawake ww mm ex wangu aliwai nipigia simu kuwa nikimuacha anajiua lakini mbona juzi tumeachana na ajajiua wanawake ni rahisi sana kuamisha upendo ivyo usijidanganye
 
Nimeona niliseme hili kwa maana siku zote huwa nawaza na leo nikaona nishirikiane nanyi ndugu zangu. nimeoa muda sasa na nina watoto wawili.

Muujiza wangu ni kuwa Mimi ni mmoja kati ya wanaume wachache ambao wameona Wake wazuri na wenye Akili. Ni ngumu sana kukuta hivi vitu viwili wimeshikamana au ongozana kwa mwanamke. 1. Uzuri. 2. Akili. huwezi pata. ni Nadra sana kutokea. wengi wanakuwa wabaya yaani hawana mvuto sana ila wana akili na wengine asilimia kubwa unakuta ni mzuri au mrembo ila kichwani Empty kabisa. na hawa ndo asilimia kubwa sana.

Muujiza wangu ni kuwa nimepata vyote. mke mzuri, sexy,mrembo na ana akili sana. mpaka najiuliza nina bahati gani duniani?
Hongera mkuu!Kuna swali huwa natamani kuliuliza lakini naogopa "ban" . Labda nikuulize wewe mwenye huu muujiza, hivi kweli miujiza ya kupona magonjwa umeshaishudia kwa mtu wako wa karibu??Mimi ni mkristo lakini ni kama kina Tomaso!Nimeona sana kwny mikutano na kwny tv (emanuel, kwa bushiri, etc) lkn sio kwa mtu ninayemfahamu!
 
Back
Top Bottom