Wapo mabaharia kama wote jf, lakini pia kuna watu wema, usiconclude kwa namna wewe ulivyo basi wote wapo hivyo, generalization ndo inafanya hata watu wema kuonekana wabovu
Kama baharia hata mtaani wapo
So no matter ni wapi umekutana na mtu, mtu mwema atabaki kuwa mwema na baharia baharia ova