Nimepata Android 9 (PIE) baada ku update simu yangu

Saivi washatoa "Android 10-Q" !! Yaani android developers wanatapatapa sana mtu leo unanua simu lakini hayo ma update simu inakuwa outdated ndani ya muda mfupi sanaa. Mtaalamu Chief-Mkwawa hebu tufafanulie hii imekaaje? Binafsi naona kama ni mbinu za kibiashara zaidi kuliko mahitaji ya msingi. Na hili ndio limenifundisha kuchukia android OS
 
Ni kweli unachosema. Maana huwa sioni improvement kubwa sana toka OS version moja kwenda nyingine. Nafikiri wangekuwa wana Fix bugs tuuu. Once ikitokea Massive Improvement basi ndio wabadirishe Version
 
Na hapa ndipo iOS anapochukua sana point
 
Ni kweli unachosema. Maana huwa sioni improvement kubwa sana toka OS version moja kwenda nyingine. Nafikiri wangekuwa wana Fix bugs tuuu. Once ikitokea Massive Improvement basi ndio wabadirishe Version
na hapa apple ndipo wanaonyesha umakini wao,

katikati ya mwaka mnapewa point moja moja zenye ukubwa wa mb 200 mpaka 500 mna update,ila kila mwaka main update ambayo inakuja na special features.

sasa hawa wenzangu namimi ukiuliza tofauti ya msingi android 7 na 8 sidhani kama utapewa.
 
Nimeupdate kwenda android 9 kuna mazuri mengi sana nayapata. Imenikera siweza kusplit screen tena kwa ajili ya multitasking. Alieweza anielekeze. Natumia Samsung J7 Neo
 
Ina split hujaijua tu. Kama vipi google ukishindwa nikiwa na muda nitakuonesha kwa screen shots
Nimeupdate kwenda android 9 kuna mazuri mengi sana nayapata. Imenikera siweza kusplit screen tena kwa ajili ya multitasking. Alieweza anielekeze. Natumia Samsung J7 Neo
 
KWENYE SIMU YANGU INAMALIZA BATTERY BALAA... TOFAUTI NA NILIVYOKUWA NA OREO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…