Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Nenda kwenye menu, halafu software update kama una samsung,check kama kuna update, baadae itaanza kudownload. unatakiwa kuwa na bundle ya kutosha kwa sababu ni kubwa kama 2GB, then itakupa maelekezo nini cha kufanyaHeshima kwako mkuu! Naomba elimu ya jinsi ya ku ugrade manually to android 9. Nina android 8.1. Natanguliza shukrani
na watumiaji wa infinix hot 6x update ya pie ni lini wadau
hapana ila wanazo simu zao nyingn tayar ziko updated kama smart 2 ila kama yangu bado na imetoka mwaka mmoja
Na mm nataka s6 nipo 7 [emoji134][emoji134]S6 unataka u update kwenda ngapi?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Nimepata leo kwenye simu yangu ya Nokia 3.1 Android pie ni nzuri aiseeView attachment 1046956View attachment 1046957
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naona kumbe kuna ambao wameipenda hii android pie, kwa kweli me naiona kama mzigo huku kwangu
Na mm nataka s6 nipo 7 [emoji134][emoji134]
Mkuu nina simu kama yako, vipi kwenye kipengele cha Adaptive brightness inajipunguza na kujiongezea mwanga vyema?
Nimeshakuja fungua pm[emoji1] njoo uchukuee
Kabla ya kwenda huko android 9 uli root cm yako ama vpJana nilipata notification kuwa android 9 ipo tayari kwa simu yangu (Samsung galaxy S8) nikaweka kifurushi kisha nikapakua na ku install updats.
Kweli simu ikapanda toka android 8 to 9. Pia features kibao zimebadirika ikiwa muonekano na baadhi ya mipangilio.
Ila kuna features za msingi sana zimekuwa discontinued, hii imeifanya simu kuwa ya upweke sana
View attachment 1036737
Kuna vitu kama mult tasking sivioni kabisa, na pia Navigation buttons hazivutii kabisa.
View attachment 1036742
Home button, back button zimekuwa hivyo. Sio za kubonyeza, unaswipe juu kidogo ndio zinafanya kazi
System Tray imekuwa na mvuto kidogo sio kama ya mara ya kwanza
View attachment 1036746
Pia Dolby atmos imeongezeka na kuleta ubora wa sauti na diferent Reverb venues
View attachment 1036747
Pia notifications bar nayo imekuwa poa sana. Ina match na edge screen
Nitazidi kuleta mrejesho kadili ninavyozidi kuichunguza simu
Unaweza kufika pia anza safariduh, sisi wa KitKat tuna safari ndefu
Infinix note 4Unatumia simu gani?
Nisaidie na mimi mkuu natumia lava 6.Unatumia simu gani?
Smart 2 ya nani TZ ina update ya Pie mkuu? Sabu wametoa kwa raia wa India tu kama beta testers.... Kwa sim za watu wote bado hawajatoa update ya hizo sim maana naskia Kernel version ya hivo vi sim inawaumiza vichwa Developers....hapana ila wanazo simu zao nyingn tayar ziko updated kama smart 2 ila kama yangu bado na imetoka mwaka mmoja
sijajua kama ni kwa India tu mkuuSmart 2 ya nani TZ ina update ya Pie mkuu? Sabu wametoa kwa raia wa India tu kama beta testers.... Kwa sim za watu wote bado hawajatoa update ya hizo sim maana naskia Kernel version ya hivo vi sim inawaumiza vichwa Developers....