KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,554
- 1,920
Wakuu natumaini hamjambo.
Mimi jana nimekwaruzana na mke wangu maana tulitofautiana katika mambo flani.
Sasa baada ya kulala, nimeota nimekufa sijui namna gani halafu siku wananizika nikafufuka nikiwa natoa mwanga mweupe naelea angani.
Pale makaburini kulikuwa na watu wengi ila niliyemtambua na kuweza kuongea naye ni Mama yangu mzazi aliyeonekana kufurahi wakati nimefufuka. Ikumbukwe kwamba nasubiri pia majibu ya interview flani. Hilo swala la kufa limenichanganya sana.
Inamaanisha nini hii ndoto?
Mimi jana nimekwaruzana na mke wangu maana tulitofautiana katika mambo flani.
Sasa baada ya kulala, nimeota nimekufa sijui namna gani halafu siku wananizika nikafufuka nikiwa natoa mwanga mweupe naelea angani.
Pale makaburini kulikuwa na watu wengi ila niliyemtambua na kuweza kuongea naye ni Mama yangu mzazi aliyeonekana kufurahi wakati nimefufuka. Ikumbukwe kwamba nasubiri pia majibu ya interview flani. Hilo swala la kufa limenichanganya sana.
Inamaanisha nini hii ndoto?