erasto sichila
Member
- Sep 20, 2023
- 26
- 38
Hii ndoto imenifikirisha sana yaani kumbe CCM haitatoka madarakani ! ukweli usemwe wanaosema itatoka itaanzaje?
CCM ,wanalijua hilo kuwa niwa milele ,ndio maana walipo anza mchakato wa Katiba walisituka haraka sana wakaharibu bunge la katiba kwa mkakati maalumu
Wapinzani wakajichanganya eti wakasusia mchakato ,wenyewe wakasema ukisusa wengine twala, jamani ikawa hadithi CCM bila kusituka mulikuwa mumejimaliza yaani fisi unamupa Nyama?
Wapinzani jueni hilo CCm haitoki ng'o
Nini wapinzani wafanye ni mjadala mrefu kwani bado wanajua wasicho kijua
Leo hii tena eti kuna tume huru ya uchaguzi !yaani Fisi aende jikoni aandae nyama jikoni awagawie waalikwa harusini wale washibe ,pia nyani agawe hizo nyama kwa waalikwa
Hivi ukweli hiyo nyama siwata ambulia mifupa mitupu ?
Ukweli katiba ndio suluhu vinginevyo hii hadithi ya haki au huru haipo
YA KALE YAMEKUWA MAPYA CCM OYEEEE
CCM ,wanalijua hilo kuwa niwa milele ,ndio maana walipo anza mchakato wa Katiba walisituka haraka sana wakaharibu bunge la katiba kwa mkakati maalumu
Wapinzani wakajichanganya eti wakasusia mchakato ,wenyewe wakasema ukisusa wengine twala, jamani ikawa hadithi CCM bila kusituka mulikuwa mumejimaliza yaani fisi unamupa Nyama?
Wapinzani jueni hilo CCm haitoki ng'o
Nini wapinzani wafanye ni mjadala mrefu kwani bado wanajua wasicho kijua
Leo hii tena eti kuna tume huru ya uchaguzi !yaani Fisi aende jikoni aandae nyama jikoni awagawie waalikwa harusini wale washibe ,pia nyani agawe hizo nyama kwa waalikwa
Hivi ukweli hiyo nyama siwata ambulia mifupa mitupu ?
Ukweli katiba ndio suluhu vinginevyo hii hadithi ya haki au huru haipo
YA KALE YAMEKUWA MAPYA CCM OYEEEE