kuna kile kipande cha kuchekesha lazima uwaulize mahudhuriaji maneno haya:
Mc CF:kama kuna amelewa na anataka Kutooooooo
watakuitikia,kut@wbwa
Mc CF:anataka kutoka ,basi mlango uko wazi.
Mc CF:kama kuna mtu anayetusikia kupitia kipaza sauti na anataka Kufiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....
watakuitikia,kuf1wra
Mc:Kufika kwenye hii sherehe,basi njoo hapa kituoni Zakhem.
mingine nikikumbuka nitakukanyagia ndugu yangu.