Nimeoa leo tarehe

Nimeoa leo tarehe

kwa hiyo kuanzia leo unakula papuchi kihalali mkuu?
 
Kwenye huo "uchumba wa muda mrefu" mlikuwa "mnakulana?" Kama ni NDIO basi ulishaoa kabla ya leo
 
hongera, karibu kwenye chama chetu. cheti kwanza, mtihani baadae...hahahahahahahaha!
 
Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike.

Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu.

Amen.
Kumbe una mchumba mwengine wa kiume ee?

Nae utamuoa lini sasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom