dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Samahani MkuuKumbe we ni mpumbafu, tangu mwanzo nakujibu kwa heshima halafu unaniita mi chizi, kiti moto wa porini wewe
Samahani MkuuKumbe we ni mpumbafu, tangu mwanzo nakujibu kwa heshima halafu unaniita mi chizi, kiti moto wa porini wewe
Pamoja mkuuSamahani Mkuu
Nisamehe GENERAL nilifikir ni wale wale nafuta neno langu CHIZI Mkuu lkn CONCEPT yangu utakuwa umeifahamKumbe we ni mpumbafu, tangu mwanzo nakujibu kwa heshima halafu unaniita mi chizi, kiti moto wa porini wewe
Tumesameheana mkuu, tuboreshe imani zetuNisamehe GENERAL nilifikir ni wale wale nafuta neno langu CHIZI Mkuu lkn CONCEPT yangu utakuwa umeifaham
SAMAHANI SANA
Kwanza kabisa naomba mnipe pole wanajamvi kabla hata ya kutoa maelezo yoyote yale.
Leo mida ya saa 6 mchana hv nlikua nakatiza mitaa flani hapa znz nikiwa natafuna zangu vikaranga tu vichache nilivyotoka navyo home, Eeeh bwana eeeh si nkashangaa ghafla tu nimezungukwa na njemba ka 5 hv.
Zikaanza kunihoji kwann nimekua mkaidi kiasi hicho cha kuwaharibia watu swaumu zao, yani nikawa najaribu kujielezea huku nimekwidwa kama kibaka.
Nikawaomba wazee waniachie kidogo nijieleze duh, mshikaji ameniachia shati tu nmechomoka kama mshale. Yaani siamini kama nimenusurika kula kichapo kutoka kwa masheikh asee.
Kwakweli sitarudia hata kumeza mate mbele ya watu ktk kipindi hiki cha mfungo hapa Zanzibar.
Ile mishuti anayopiga Fei Toto unasema hawana nguvu?!Dini ya Amani
hao ndio wanaharibu dini na hapo ukute hata wao hawajafunga
ila umebugi kutoka nduki.. huwa hawanaga nguvu.!
Vipaji vinazaliwa ZANZIBAR na vinauliwa TanganyikaIle mishuti anayopiga Fei Toto unasema hawana nguvu?!
Moja ya sehemu zenye makanisa Makongwe zaid E.A ni ZANZIBARpole Mkuu lakini huo si ustaarabu hata chembe. Wajue si kila mtu ni muislamu Zenj.
Unalolote ww watu wanaweza kukula DAKU mchana mchana usipime dogo mwili wakubeba vifusi na zege kwa miili iliyojegwa ufukweniHao malofatu.
Juzi tu niko huko na jamaa zangu katika harakari zetu za kiupambanaji kweli tukawa tunatafuna tafuna biscuti mara yakaja majamaa mbele yetu yakaanza kuruletwa ungese tukayakomalia na kuyatolea mimacho.
Yalivyoona maumbo yetu tumepanda na tumejazia yalikopotelwa hatujuwi.
Nilichogundua haya mangese yakikuona lofalofa yanakuletwa ungese pia
Moja ya sehemu zenye makanisa Makongwe zaid E.A ni ZANZIBAR
Na historia ina sema Mfalme wa ZANZIBAR aliwahi toa Ardhi kwa ajili ya ujenz wa kanisa
HIZI CHUKI MNAZIPANDIKIZA WATANGANYIKACCM KM GIA YA KUPATA UHALALI WA KUIKALIA KWA MABAVU VISIWA VYETU
Si unaona wamasai wenu wanavyouza shanga nyengine tunawavisha fresh tuu uwo ujanja uko uko tuu apa SIMBA KANYWESHWA CHAI NA AKATULIAHao malofatu.
Juzi tu niko huko na jamaa zangu katika harakari zetu za kiupambanaji kweli tukawa tunatafuna tafuna biscuti mara yakaja majamaa mbele yetu yakaanza kuruletwa ungese tukayakomalia na kuyatolea mimacho.
Yalivyoona maumbo yetu tumepanda na tumejazia yalikopotelwa hatujuwi.
Nilichogundua haya mangese yakikuona lofalofa yanakuletwa ungese pia
MUWE WASTAARABU KIPINDI CHA KUGOMBEA UHURU NYERERE ALIPO FIKA TANGA ALIFUNGA NA AKAFANYIWA MAKAFARA COZ ALIKUA AKIHESHIMU MILA ZA WATU NA SI KWAMBA ALISILIMU NO JUST KUWA KIJAMII ZAIDILeo siku imeisha.
Tusubiri kesho sijui itakuwa wapi kwengine atakapotishiwa mtu kupigwa kwa kosa la kula mchana wa Ramadhani!.
Hujaelewa mantiki yangu mkuu.MUWE WASTAARABU KIPINDI CHA KUGOMBEA UHURU NYERERE ALIPO FIKA TANGA ALIFUNGA NA AKAFANYIWA MAKAFARA COZ ALIKUA AKIHESHIMU MILA ZA WATU NA SI KWAMBA ALISILIMU NO JUST KUWA KIJAMII ZAIDI
Wacha sifa za kijinga wee TOBWE kufanya hvyo nikuwaleta Wazanzibar pamoja zaigi na mwisho wasiku kwa umoja wao watawaona nyinyi c ndugu zao bali ni adui zao wakifikia hapo hata hiyo msisiemu inayowakingia kifua itawageukaTena mi natafunaga tu mbele yaoo ,wananitoleaa mijicho tuu ,ila hawathubutuu huo upuuuzi ,juzii nilikuwa napiga tikiti langu mbele ya msikitii na maustadhii kama wotee ,naona kabisa wanamind ila ndo wakujitoa kafaraa anakosekana
Walipoteza hio nafasi sidhani kama watakuja ipata tena.Bora wangekupiga kwanza ndio Uzi ungenoga