Nimenusurika kichapo mfungo huu wa ramadhani

Nimenusurika kichapo mfungo huu wa ramadhani

Kumekucha,
kuna mwingine kaleta uzi hapa kwamba ilibaki kidogo awafanyie mauaji ya halaiki watu kama hao Magomeni,walipoona katoa bastola wakasambaratika
 
dini ya Amani

hao ndio wanaharibu dini na hapo ukute hata wao hawajafunga

ila umebugi kutoka nduki.. huwa hawanaga nguvu.!
Ningetembeza ngumi hatar fayaaa
Wazee wakula urojo ningeua kama inzi
 
Kumekucha,
kuna mwingine kaleta uzi hapa kwamba ilibaki kidogo awafanyie mauaji ya halaiki watu kama hao Magomeni,walipoona katoa bastola wakasambaratika
Hawa watu wanamchezo asee make unaweza jikuta unachezea kibano kimasiharamasihara tu yani.
 
Pole mkuu siku nyingine utafune karanga ndani kwako
 
Kweli wakristo wastaarabu sana na wanajua nini maana ya funga haya mambo kwaresma sijawahi kuyasikia kwanza nimekuja kujua wakristo wanafunga mwezi unakaribia kukatika.
Hivi hii kitu kwenye Quran ni aya ipi inamzuia jirani yako asile wewe ukifunga.
 
Hasira ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu na Mungu anahitaji watu tuwe na upendo baina yetu hasa wakati wa mfungo wa Mwezi mtukufu sasa ewe mwanadamu unapata wapi hasira ya kumdhuru mwenzako kipindi hiki
 
MILA NA TAMADUDI ZETU MITANGANYIKAMISISIEM KWA MAKUSUD MAZIMA MMEKISUDIA KUZIVUNJA KUHARIBU SILKA NA TAMADUNI ZETU KWA DHANA YA KWAMBA NYINYI NDIO WENYE HAKI JUU YA KILA KITU KUHUSU NCHI HII HILI NI MOJA YA KERO LIVE A ZA UKULONI WA MISISIEM NA DOLA YAO NA JESHI LAO DHIDI YA WAZANZIBAR WASIO NA UWEZO WA KUJILINDA NA KUJIHAMI
ZAID YA MARA TANO TUSHA KUKATAENI MITANGANYIKAMISISIEMU BADO MNADHIDI KUTUKALIA KUJESHI NA XX KILA SIKU MNALETA MISUKUMA KUJA KUHARIBU TAMADUNI SILKA DESTURI HADI LUGHA YETU ADHIMU
TUTASIMAMA KIDETE KM MLISHUNDWA KTK MIAKA 50 ILIYOPITA KAMWE HAMASHINDA MIAKA 100 IJAYO

ZANZIBAR NI YA WAZANZIBAR
 
Hawa watu hatari sana yani hadi karanga tu kutafuna shida, yani mtu hata kumumunya pipi hadharani tu wanaweza wakakukabiri. Very pathetic people,
Hiki kisiwa huwa kinakua kichungu sana kipindi kama hiki.
Wewe ndio Hatari ulietoka CHATO ukaja kwetu tukakukaribisha hatimae ukatufanyia USHENZ WA KIBARA
 
MILA NA TAMADUDI ZETU MITANGANYIKAMISISIEM KWA MAKUSUD MAZIMA MMEKISUDIA KUZIVUNJA KUHARIBU SILKA NA TAMADUNI ZETU KWA DHANA YA KWAMBA NYINYI NDIO WENYE HAKI JUU YA KILA KITU KUHUSU NCHI HII HILI NI MOJA YA KERO KUBWA YA UKULONI WA MISISIEM NA DOLA YAO NA JESHI LAO DHIDI YA WAZANZIBAR WASIO NA UWEZO WA KUJILINDA NA KUJIHAMI
ZAID YA MARA TANO TUSHA KUKATAENI KTK VISANDUKU LKN MITANGANYIKAMISISIEMU BADO MNADHIDI KUTUKALIA KUJESHI NA XX KILA SIKU MNALETA MISUKUMA KUJA KUHARIBU TAMADUNI SILKA DESTURI HADI LUGHA YETU ADHIMU
TUTASIMAMA KIDETE KM MLIVYONDWA KTK MIAKA 50 ILIYOPITA KAMWE HAMATASHINDA MIAKA 100 IJAYO

ZANZIBAR NI YA WAZANZIBAR
 
Back
Top Bottom