Nimenasa!


Vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno. Siku asiyotarajia akute umeishahamia sehemu nyingine ambayo haitakuwa rahisi ku trace. Lakini huo utakuwa ukatili wa aina yake. Hujesema kama ni wife material. Kama kwako kafika bei, oa kabisa.
Una options hizo mbili tu.
 

Kulala wote daily unafikiri pipi italiwa na ganda lake? Haiwezekani huyo ni kama mke
 
Kaizer na Asprin hawa vijana wanaitaji kufundwa aisee...wewe hukuwahi kufundishwa kuwa "Usile kuku wa jirani"!?????

HATA kibaka anakushinda yani...kamwe haibi kwao!
 
Last edited by a moderator:
kwani wakati mnaanza mlikubaliana chochote? maana naona mlipiga story mkagegedana, na kabla yake wewe huna mtu maalumu? maana inaonekana unatumia kifanyio chako kwa kila mtu.
 
Mm nilikija nakimbia najua umenasa ukimwi kama ni gal nikasema itakuwa mimba

Wewe hama nyumba tuu

Haha...ukimwi hapana kwa kwel...maana hua navaa double
 
Yaan uhame nyumba kisa mwanamke humtaki..!muhimu ushajitambua kuwa humuhitaji inatosha..we ingiza mademu zako kama kawa, akiwaona atajiongeza mwenyewe.

Hahaha...kwa namna nnavyomuona uyu anaweza kuzua timbwil nikakosa wa kuamua
 
Mimi naomba namba yake nikusaidie kuachana nae
 

Hahhaha...u made my day buddy!!!
 

Ofcoz she z cul ila hawe kua mke wang....wazo la kuhama bado linaonekana bora
 
Si umepanga? Hama nyumba,au kodi anakulipia yeye?
Mie simuelewi mwanaume anayedai yuko kwenye mahusiano asiyoyataka,kweli huwezi kumuacha bint usiyemtaka!!
Kuna mabinti wengine wanajua kunasa waume sana,ukifikiria kumuacha tu ashaongeza maufundi tayari hapo kwa 6*6 So inakuwa ngumu sana kujinasua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…