Nimenasa!

njia rahisi sana wala haitaji ushauri,ya nn ujitese wakati nyumba nyingi tu za kupanga hama hapo kapange,tena unamuaga vzr tu na unamueleza uko na hny wako mazingira ya hapo hapendi na unakohamia hakikisha unamueleza wazi kuwa haruhusiwi kwa kuwa alikuita ulale nae basi waweza sema kwa ss imetosha
 
Dhambi bro, kaa naye mjadiliane hata ukihama usiende na gundu. Inawezekana alishapanga muda mrefu na ndo maana alikushawisi mlale wote the 1st dy.
 
Dhambi bro, kaa naye mjadiliane hata ukihama usiende na gundu. Inawezekana alishapanga muda mrefu na ndo maana alikushawisi mlale wote the 1st dy.

Ofcoz she told me kua she was intersted muda ingawa alikosa gia....najuuuuta kujirahisisha....
 

I thnk u gat gud idea aisee
 
Hapo umekwama mkuu dawa ni kuhama vinginevyo chamoto utakiona cku ukija na mzingo mwingine
 
Hapo umekwama mkuu dawa ni kuhama vinginevyo chamoto utakiona cku ukija na mzingo mwingine

Haha..na yule nnavyomuona anaweza kuingia na mlango ..tehe..najuuuta mie
 
Si umuage kwenda kuangalia World cup Brazil halafu unajipoyeza kama ndege ya Malaysia? Simple sana
 
JF......... kuna maushauri ya kila aina..

Hivi ulivyomshauri mwenzio, wewe unaweza kufanya.

 
Si umuage kwenda kuangalia World cup Brazil halafu unajipoyeza kama ndege ya Malaysia? Simple sana

Tehe...uzuri hua anatoka asbh anarud jion sana...so km nahama kaz itakua rahc anakuja kukuta peupee...ingawa ntakua nimemkimbia
 
Yaan uhame nyumba kisa mwanamke humtaki..!muhimu ushajitambua kuwa humuhitaji inatosha..we ingiza mademu zako kama kawa, akiwaona atajiongeza mwenyewe.
 

Sidhani kama ni tatizo kama blue hiyo ipo pouwaz. Me pia kuna kipindi (Enzi za ujana maji ya moto) nilikuwa nashare nyumba na mdada mmoja hivi wa haja, ila nilikuwa kila siku naingiza wadada tofauti na alikuwa anaona, ila cha ajabu na yeye akajilengesha, bila hiyana nikapita na nikawa namega mara moja moja, meanwhile nikaendelea kuleta wadada wengine mle ndani na akawa anawachekea tu na kuwaita wifi akipishana nao. Cha msingi you've already activated ##JUMP IN AT YOUR OWN RISK## hashtag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…