BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Starehe na rahisi sana Ku type kwa kutumia vidoleNimeshindwa kusoma yote
ila nimejiuliza why mtu unaonekana smart hadi kuandika details na tarehe kabbisa
ushindwe kufanya maamuzi rahisikabisa?
why mwanaume eti useme 'umenasa' huku unaona kuna hatari kubwa ya
kutatuliwa marinda au hata kuuwawa mbele yako?
unless hii story fake basi una 'moyo wa kike sana'