Nimemzuia mke wangu kupanda lift ya jirani, lakini amekaidi

Waheshimiwa hamjambo

Mke wangu hivi karibuni amepata kazi baada ya kuwa mama wa nyumbani tangu tuoane, sasa kumekuwepo na changamoto ya usafiri asubuhi wakati wa kwenda kazini, tunafanya kazi uelekeo tofauti wa jiji hili la dar,

Sasa kuna huyu jirani yangu, anafanya kazi uelekeo wa kazini kwa wife, na ana gari, huwapa lift wapangaji wake wawili wa kike wanaoishi single na wife wangu anakua wa tatu
Nilimzuia mke wangu kuipanda lift hiyo kwa sababu mbali mbali ikiwemo sifa mbaya za jamaa huyo za uasherati, ameshashikwa uzinzi na mkewe mara kadhaa, lakini kubwa zaidi ni kuwa huyu jirani kuna wakati nakua sina gari either imeharibika au haipo home kwa sababu flani flani, huyu jirani hunipita kituoni kama hanioni vile, ila akiwakuta kituoni wanawake wa mtaani atasimamisha gari na kuwaita kuingia hata bila wao kuomba

Sasa mm huwa namuacha mke wangu nyuma asubuhi naondoka asubuhi sana, kumbe huku nyuma huwa anapanda lift ya lile liasherati kinyume na amri yangu, jirani yangu mwingine ndie amenishtua kwa kuniuliza ""yaani unamruhusu shemeji apande lift ya lile jitu? Ndipo nikashtuka nilikua sina habari, jioni yake nilipomuuliza wife kulikoni, akadai huwa anapanda kwa kuwa kunakua na wanaweke wengine pia, nikamuuliza huwa mnashuka wote kituo kimoja? Akajibu vituo tofauti, nikamkata makofi mengi sana wife, nikamwambia ni marufuku kupanda lift ya binadaam yeyote yule wa jinsia ya kiume, hata ikibidi kutembea kwa miguu atembee kama hakuna public means au lift za wanawake

Cha kushangaza lift za wanawake wenzao zimejaa tele mtaani, ukiuliza kwa nn usipande lift ya flani ambae ni mwanamke mwenzio utasikia ooh yule anaringa na kigari chake,
Yaani upo radhi kujipeleka mdomoni mwa li mamba kisa flani anaringa na kigari chake

Sasa ngoja nije nisikie tena amepanda lift ya hilo jitu,

Nonsense

Hahahahahhahahaha! Hahahahahhahahahaha! Dah umenichekesha sana. Eti anaringa sana na kigari chake. Sasa mkuu fanya hivi. Wewe panda daladala, kasha mwachie waifu gari awe anaenda nayo kazini. Wakati unajipanga kununu gari linguine. Utakuwa umeepusha hii shari.
 
Suluhisho linguine ni kumwambia huyo muasherati ni marufuku kumpa lifti mkeo, hata kama akimkuta ananyeshewa na mvua. Hiyo itamfanya aogope. La sivyo kuna hatari kubwa ya kumegewa, mkakosa amani kwenye ndoa. Na amani ikikosekana kwenye ndoa, mambo huenda mrama sana. Kuliko hata unavyofikiria. Yaani wanasema, usidharau matatizo madogo madogo katika maisha, kwani tundu dogo tu linaweza kuzamisha meli nzima.
 
Waheshimiwa hamjambo
..., lakini kubwa zaidi ni kuwa huyu jirani kuna wakati nakua sina gari either imeharibika au haipo home kwa sababu flani flani, huyu jirani hunipita kituoni kama hanioni vile, ila akiwakuta kituoni wanawake wa mtaani atasimamisha gari na kuwaita kuingia hata bila wao kuomba

Nonsense
Hapo kwenye red du! Muwindaji huyo.
Changamoto mwanawane. Naungana na walioshauri umwachie mamaa mkoko. Wewe kula guu mpaka utakapojikusanya na kumnunulia mamaa la kwake. Kizazi hiki ni shiiiida!
 
kikubwa si wanapakia wengi mkuu,angekuwa anapakia mwenyewe hapo ndio shida
Waheshimiwa hamjambo

Mke wangu hivi karibuni amepata kazi baada ya kuwa mama wa nyumbani tangu tuoane, sasa kumekuwepo na changamoto ya usafiri asubuhi wakati wa kwenda kazini, tunafanya kazi uelekeo tofauti wa jiji hili la dar,

Sasa kuna huyu jirani yangu, anafanya kazi uelekeo wa kazini kwa wife, na ana gari, huwapa lift wapangaji wake wawili wa kike wanaoishi single na wife wangu anakua wa tatu
Nilimzuia mke wangu kuipanda lift hiyo kwa sababu mbali mbali ikiwemo sifa mbaya za jamaa huyo za uasherati, ameshashikwa uzinzi na mkewe mara kadhaa, lakini kubwa zaidi ni kuwa huyu jirani kuna wakati nakua sina gari either imeharibika au haipo home kwa sababu flani flani, huyu jirani hunipita kituoni kama hanioni vile, ila akiwakuta kituoni wanawake wa mtaani atasimamisha gari na kuwaita kuingia hata bila wao kuomba

Sasa mm huwa namuacha mke wangu nyuma asubuhi naondoka asubuhi sana, kumbe huku nyuma huwa anapanda lift ya lile liasherati kinyume na amri yangu, jirani yangu mwingine ndie amenishtua kwa kuniuliza ""yaani unamruhusu shemeji apande lift ya lile jitu? Ndipo nikashtuka nilikua sina habari, jioni yake nilipomuuliza wife kulikoni, akadai huwa anapanda kwa kuwa kunakua na wanaweke wengine pia, nikamuuliza huwa mnashuka wote kituo kimoja? Akajibu vituo tofauti, nikamkata makofi mengi sana wife, nikamwambia ni marufuku kupanda lift ya binadaam yeyote yule wa jinsia ya kiume, hata ikibidi kutembea kwa miguu atembee kama hakuna public means au lift za wanawake

Cha kushangaza lift za wanawake wenzao zimejaa tele mtaani, ukiuliza kwa nn usipande lift ya flani ambae ni mwanamke mwenzio utasikia ooh yule anaringa na kigari chake,
Yaani upo radhi kujipeleka mdomoni mwa li mamba kisa flani anaringa na kigari chake

Sasa ngoja nije nisikie tena amepanda lift ya hilo jitu,

Nonsense
 
mwachie gari wewe ukomae na public transport .......... pia si kila mwanamke ni maharagwe ya Mbeya ondoeni hizo fikra kichwani mwenu
 
Haaaa haaaa hilo lijamaaa ni shida lazima atammega mkeo hakuna jinsi we tulia tu.
 
You are a man..Nakubaliana na juhudi unazofanya kulinda ndoa yako..makazie huyo kama vp kampige mkwara jamaa asimzoee mkeo maana atakuletea aibu kwny ndoa yako..
Wanaume wa ******* sana jamaa akimzingua huyo mwingine lazma aje alipize kisasi kwa kummega mke wa jamaa ili kumwonesha kweli yy ni kidume!! jamaa kama mjanja mbadilishe ratiba amwahishe mke kazini halafu yy aendelee na mishe zake au amwachie mke gari kumpiga mke siyo kuluhisho
 
Ukiweza kuishi na mwanamke katika nyakati hizi ngumu.......basi una uwezo hata wa kuishi jahanamu bila shida yoyote....maana kuishi na kiumbe wa kike katika kipindi hiki kunahitaji kipaji cha uvumilivu....
 
kikubwa si wanapakia wengi mkuu,angekuwa anapakia mwenyewe hapo ndio shida

Hao wengine ni singles. Plus, kwa kifupi, haingiii akilini mkeo kupanda gari la mtu ambaye wewe huwa hata hakusalimii, achilia mbali gari la rafiki yako. Wanawake huwa wanavutiwa na mazungumzo, sio mwonekano wa mwanaume. Sasa akipata wasaa wa kukaa nae kwenye foleni masaa mawili, usishangae yatayotekea.

Juzi tu hapa hapa JF, kwenye jukwaa hili kuna mwanamke, tena mke wa mtu, amekiri kwamba anavutia na kichaa wa mtaani kwao ambaye huwa anatembea akiwa mtupu! Na kichaa ana limashine la kutosha! Ni bure kuepusha shari!
 
Mkuu, minasubiri mrejesho ukija kuskia karudia kupanda lifti ya hilo Li jirani
 
Acha nijikusanye sanye, hali ikieleweka nitafanya hivyo mkuu
hakuna jambo linalouma kama kumegewa wife wako aisee usiombe ikakutokea unaweza kuua mtu bila kusudio pole sana mwelekeze mkeo aachane na mpango huo yy apande usafiri wa kawaida kama nyumbani bado hamjapata usafiri wenu avumilie kipindi hiki kifupi asije akakukasirisha zaidi
 
Madai yako una usafiri kwanini sasa unamuacha wife home wakati nae anaenda kazini?
 
Lakini umesema jirani alikua anakupita kituoni pindi huna gari, means we na jiran mnafanya kaz uelekeo mmoja? Sasa yy ampeleke wife wako anampaje lift. Pili usafir qa dar n mgumu sio km siye huku mikoan toyo ya buku tu unawai kazin. Kuzuia mkeo asipate majaribu ondoka nae hata kama n SAA kumi na moja na km hataki Kuwai bas apande daladala
 
Hilo gari lako mpe wife aende nalo kazini then wewe panda daladala. ili usipate tabu ya kuukondesha moyo kwa wivu.
 
Back
Top Bottom