Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Idumu sana, kuna nyembe humu we acha tu, ngoja nifunge bakuli langu![]()

Sasa hivi tumeshajizeekea tumekuwa watazamaji zaidi ila tumekutana na vingi sana
Idumu sana, kuna nyembe humu we acha tu, ngoja nifunge bakuli langu![]()

Sasa hivi tumeshajizeekea tumekuwa watazamaji zaidi ila tumekutana na vingi sanaKwa lipi mpendwaDada umeniganda kama kupe ...
Hakika, uzee ni dawa! Ila nyie bado kidogo...mna muda kidogo wa kutengeneza mahusiano mapya. Wengine tumeshachoka sasa.Sasa hivi tumeshajizeekea tumekuwa watazamaji zaidi ila tumekutana na vingi sana
Kwhy vingne avielezekiSasa hivi tumeshajizeekea tumekuwa watazamaji zaidi ila tumekutana na vingi sana
Woiiii huo mda sasa wa kutengeneneza mahusiano mapya sasa mwili umeshakufa ganzi miaka 50 niliyonayo acha niwe mtazamaji zaidi kuangalia ya wajukuu zanguHakika, uzee ni dawa! Ila nyie bado kidogo...mna muda kidogo wa kutengeneza mahusiano mapya. Wengine tumeshachoka sasa.




Et wivu amekuonaje kwanzaK
Kwa lipi mpendwa
wew umeleta mada acha ichambuliwe hakuna wivu
mbona unakosa kujiamini
Putin unataka nikuelezeeKwhy vingne avielezeki
Ndio ShuniePutin unataka nikuelezee
Mtoto wakike hafokewagi kakaUnachojadili ni nini haswa zaidi ya ushambenga na wivu wako tu hapa...YANI unajadili mwanaume kumpenda mwanamke una akili timamu
Eti 50..🤣🤣🤣🤣🤣Woiiii huo mda sasa wa kutengeneneza mahusiano mapya sasa mwili umeshakufa ganzi miaka 50 niliyonayo acha niwe mtazamaji zaidi kuangalia ya wajukuu zangu![]()
Nitakuelezea tukiwa wawili Putin tusiwape watu wengine faidaNdio Shunie
Kweli tena tatizo ukweli huwa hamuamini mnapenda kudanganywaEti 50..
Binti mbichi kabisa kwa sisi wazee, acha zako.


kuonesha upendo tuKwa faida zipi utakapo uanzisha???
🤣🤣🤣🤣😅😅😅Et wivu amekuonaje kwanza
umemuona wapi?Nina uboo kama huamini njoo pm tuonane nikuoneshe..
Kuhusu Lamomy najua Kabisa wa 100% ni shangazi la ukweli mzuri, ana hizi, mapaja manene na miguu minene, na Tako zuri lililojaa minyamanyama , akivaa na shades zake za kuzuia jua Yan simpatii picha namtamani na namuitaji sana