Nimemzidi umri kwa miaka 12

Mmeongea mpaka sa nane? Kuna utata hapo lakini mapenzi hayachagui umri ni kukabiliana na Maneno ya watu na changamoto zake
 
Tena ngoja nikuletee ovulation.detector!
Huhuhuhuhuhu,mwezi ujao tuanzage kwenda kunywa juwisi ya miwa na mishkaki ya mia!

Najitolea kukusindikiza mwayego!
Usisahau kumpeleka pale firigisin pub
 

This is very important observation which needs to be considered.
 
In a way tulikuwa tunaongea akaniambia ukikutana na mama yangu wakati unadamu yake mikononi hatakuwa na jinsi, aliongea kama utani lakini ilikuwa sentensi nzito

Du, katika hali ya kawaida, mwanaume akimzidi mwanamke umri ni sawa lakini huyu wa miaka 44 imekuwa kinyume chake, wasiwasi wangu ni kwamba wakioana wakaishi kama mr&mrs kwa miaka 5 kijana ataanza kuona tofauti ktk umri wa mkewe atamwona kama mwanamke mzee au kama mama yake so hapo ndo migogoro ya ndoa itakapoanzia kijana ataona kama vile alikosea kuchagua ndipo atakapoanza kutafuta wasichana wa rika lake au wadogo zaidi na kuanzisha mahusiano yasiyo rasmi nje ya ndoa yao. take care
 
Umri sio tatizo, swali ni je, his USB cable is compatible with your USB port???
 
Dada mpenzi umri si ishu endeleeni na urafiki kwanza. Onyo moja tu "Usizae nae hadi muoane kama itatokea" hivi ukiletewa zengwe na nduguze alafu dogo akabadili mawazo? Wanaume wenyewe wa Bongo unawajua. Endelea kuomba Mungu akusaidie
 
Miaka 40 mwanamke hujazaa bado? Unasubiria ndoa ndio uzae? Au huna mpango wa kuzaa?
 

Definitely!,good idea.
 
Dada mpenzi umri si ishu endeleeni na urafiki kwanza. Onyo moja tu "Usizae nae hadi muoane kama itatokea" hivi ukiletewa zengwe na nduguze alafu dogo akabadili mawazo? Wanaume wenyewe wa Bongo unawajua. Endelea kuomba Mungu akusaidie

Miaka 44,asizae kwanza hadi waoane???!!!,wewe unataka kumpotosha mwenzako,unataka azeeke bila mtoto nini???.
 
miaka 44 hujazaa? we Ndo basi tena una mwaka mmoja tu mbele Wa kustop hata Ku breed ni miaka 45 mwanake uzazi kush neh!
 
mapenzi ya mwanzo ni matamu kweli,lakini muda unavyokwenda ni shida.ushauri wangu kama umempenda ukubali na changamoto zake kwa maana itafika wewe umezeeka kabisa mwenzako bado anadai,na unajua wanaume hawazeeki
utaumia sana pale unataka kutoka nae unaona hamfanani.jiangalie na wewe umri umekwenda kama unataka mwanaume wa kukupa mtoto sawa lakini usimuweke akilini sana atakutesa.
 
Miaka 40 mwanamke hujazaa bado? Unasubiria ndoa ndio uzae? Au huna mpango wa kuzaa?

Kama issue ni kuzaa njoo kwangu nikumwagie ufuta
Ukweli kwamba huyo kijana atakusumbua tu badae
 

Huwa sikubaliani na mambo ya kuzaa nje ya ndoa ila kwa scenario hii nadhani dada hana namna nyingine...ila kwanini hadi 44? Inakuwaga ni mpango wa Mungu au?
 
As long as u love each other hakuna cha kuwastopisha
 
nakushauri usitarajie makubwa saana au mapenzi sana huko au ndoa au sijui nini......bora ujue una mpenzi tuu mchepuke...hata mkizaa usitarajie utawekwa ndani kama mke maana age inaleta shida pia atakuja kugeukia tuu dogodogo baadae....japo hakuna formukla...pia labda uamue kuzaa tuu na uwe tayari kusimama kivyako akisepa sio tena kuwa na ahadi au fikra zakitoto kuwa ndio mume...maana bada age factor....atakuona umezeeka tu ratio ya age si poa....

soa amua kuwa wapenzi na kuzaa kwa jili ya manufaa yako sanasana...usitarajie maajabu sanja japo sie hatupangi....in short akili zako zifanye kazi sana na sio maenzi yakutawale...maana u mpweke yaonesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…