NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
Mzee unazingua..... unaagizwa mishkaki nawe unaenda tu.
Au unataka kumeonyesha una mapenzi ya dhati babulai?
Yero nawe unazingua. Kwani huyo ni mkewe au dada wake wa kazi? Majukumu yanaenda na nafasi. Nafasi ya demu inajulikana duniani kote. Jamaa kununua mishikaki ilikuwa sawasawa kabisa kulingana na majukumu ya demu.