Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Aisee kuna mijanamke kwel sjui ikoje, yaani nimeamka asubuh nimeenda job nimeliacha limelala linajitanua tuu kwenye 6×6 yangu,
Kila kitu kiko ndani,friji imejaa nyama, kila kitu, mchele uko ndan, unga, mayai,etc
Kiiiila kitu...
Yaan naingia tuu moja kwa moja jikoni,***** hakuna kitu, namuuuliza eti sijapika, kaona nimetoka nje, eti naomba niletee mishkaki,..
Kiukwel now nina njaa ya ajab, nakula dodo hapa na matango yalikua kwenye friji...huyu demu ni bure kabsa, halafu ni new project...
Alafu limekaa hapa linakula mishkaki huku linanihadithia hiyo muvi ya Gabo linaangalia maisha magic bongo.
Kila kitu kiko ndani,friji imejaa nyama, kila kitu, mchele uko ndan, unga, mayai,etc
Kiiiila kitu...
Yaan naingia tuu moja kwa moja jikoni,***** hakuna kitu, namuuuliza eti sijapika, kaona nimetoka nje, eti naomba niletee mishkaki,..
Kiukwel now nina njaa ya ajab, nakula dodo hapa na matango yalikua kwenye friji...huyu demu ni bure kabsa, halafu ni new project...
Alafu limekaa hapa linakula mishkaki huku linanihadithia hiyo muvi ya Gabo linaangalia maisha magic bongo.