Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
Mwanaume akiwa kichwa ndani kinachojua kuongoza hawezi kosa kuheshimiwa, lakini ukiwa zoba zebe lazima iwe hivyo, Mme anakaa na mkewe siku mzima ndani kama yake hata sauti kama kuna mwanaume ndani hakunaMwanamke yeyeto asiye na heshima kwa mume wake hata mzazi wake hawezi kumpa heshima yake. Na anakuwa hana heri duniani. Maandiko yanasema waheshimu wazazi wako upake heri na baraka tele duniani