Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo unaendana haswaaa na yeye mwenyewe.
Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo unaendana haswaaa na yeye mwenyewe.
inaelekea umekosa heshima na adabu mbele ya mwenzi wako huyu ndio maana huambulii hata senti yake kwa maneno yako hayo yasio na staha hebu jaribu kutumia maneno matamu uone kama atakunyima hicho unacho kitaka
inaelekea umekosa heshima na adabu mbele ya mwenzi wako huyu ndio maana huambulii hata senti yake kwa maneno yako hayo yasio na staha hebu jaribu kutumia maneno matamu uone kama atakunyima hicho unacho kitaka
Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo unaendana haswaaa na yeye mwenyewe.