rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,856
Hii ndoa haina maisha walahii..tena ukute binti mzaramo anaishi kwaooKuna wakati wanaume tunapitia vipindi vigumu sana




Mbona analetwa na kigodoro kwakoHii ndoa haina maisha walahii..tena ukute binti mzaramo anaishi kwaooKuna wakati wanaume tunapitia vipindi vigumu sana




Mbona analetwa na kigodoro kwakoInawezekana unabambikiwa kuwa makiniUshauri mzur mkuu ,asante , kiukwel kabila la huyu mchepuko kidog linanipa ukakasi kuzaa nalo
Hivyo nimempa mimba nilikua najua last period day yake so alikua ktk safe days chakushangaza kitu kimesoma daah
Kweli kifo cha nyani
Bahati mbaya unakuta kamchepuko hakaeleweki kabisa ulikua unapoza njaa tu yaani kila mtu akisikia anakushangaa uliendaje! 😂😂😂😂😂Hii ndoa haina maisha walahii..tena ukute binti mzaramo anaishi kwaooMbona analetwa na kigodoro kwako
Noma sana mkuu..Bahati mbaya unakuta kamchepuko hakaeleweki kabisa ulikua unapoza njaa tu yaani kila mtu akisikia anakushangaa uliendaje!![]()



Yani alafu ukichepuka na kimwanamke kibaya kuliko mkeo mkeo anakudharau sana anaweza hata asikusamehee...Chepuka na kisuu uonee yani ataliaa lakini anakusamehee..

Kwaiyo mkuu unataka kushiriki dhambi ya kuuua kiumbe kishichokua na hatia.....??!!! Thamani ya hicho kiumbe ni zaidi ya hata kuachana na huyo mke wako. Muache ajifungue then mbele ya safari utakuja kumuelewesha huyo mke wako.
Huyo Sio Mchepuko Bhana. Mpaka Unafatilia SKU Zake? Yaani Unamfahamu Kama Mkeo.Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days
Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Kama kichwa cha habar hapo juu,
Few weeks hivi nyuma nilipata kamchepuko na kwa bahat wife hakuwepo basi nikapanga kumeet nae. Siku ikafika nikapiga show mpaka kuchee
Baada ya siku chache mchepuko unaniambia umenasa mimba yangu. Nikasema isiwe shida kwa vile sio dent ingawa anaishi home kwao na wazazi nikasema ngoja nije kuhakikisha kwanza
Baada ya kuja nikapima kweli kitu ni positive nikawa relaxed ili asisome my emotional ili nimconvice ki siasa atoe ila daaah aisee
Demu kakataa kata kata anasema yee hawezi kutoa katu. Ubaya anajua kama nimeoa na anapajua hadi ninapoishi
Sasa hivi ananipa vitisho lukuki maara ooh usiniambie kabisa kuhusu kutoa tusije kufikishana mbali mara nitakuja sku moja kuonana na mrs wako ajue kuna mwenzake yaan daah akili yangu imechoka
Kweli michepuko kokoto ni balaaa hapa pozi lote limeniishia natamani hata muda urudi nyuma
Naomba wale waliokutana na situation kama hii hemu nipeni ushauri kidogo mliikwepaje huu mkasa
Cha msingi mweke wazi mkeo licha ya mtiti lakini yataisha tu.
Mimi sokushawishi kutoa
Mama Yeyo Hujui Kuwa Kitanda Hakizai Haramu?subir azae ..mtunze...mtoto akishazaliwa mueleze mkeo....au mueleze mkeo ...siku yeye akija kumueleza tayari "HABARI ZAKE NINAZO"
what if wewe ni mume wangu afu sijui id yako huku jf
hahhaha aisee usije nieleza hii habari
kaa nalo pekee yako
Wengine vizazi vyao vipo karibu Kama wadada wa kaziNilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days
Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Hahahahaha usikute mwenye id hii anajuana na huyo mchepuko wakoMmh ila wana jf kama vile ni wachawi hivi wwngine , 😀 😀 😀 😀 ulijuaje kama likizo ya wife ilikua ni ya week moja tu
Daah salute kwenu
Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days
Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje








Sasa mkuu unashangaa iliingiaje akati uliiingiza dyudyu




sema wewe ikataee tu mtakutana mbele kwa mbelee maana ndoa yako inavunjikaa😂😂😂😂😂😂😂mzee mwenzetu hapa anashida sana!Noma sana mkuu..Yani alafu ukichepuka na kimwanamke kibaya kuliko mkeo mkeo anakudharau sana anaweza hata asikusamehee...Chepuka na kisuu uonee yani ataliaa lakini anakusamehee..
![]()
mzee mwenzetu hapa anashida sana!
Masaa ya hii ndoa yanahesabika kabisa



Yani mwana ana hali mbaya sanaaNa Kama mzunguko Ni siku 33,34 au 35???Kalenda hufanya kazi vizuri sana kwa mtu ambaye hali zake zote ziko vizuri yaani afya ya mwili, akili, lishe na hali ya hewa. Lakini pia inabidi ujue anamzunguko wa siku ngapi. Kama mzunguko wake ni chini ya siku 27 au 28 njia ya kalenda daima huwa ni batili.
Huo ni msalaba wako mpya ubebe bila kuongeza mwingine wa kuua.
Pole sana mkuu
Haya mambo yasikie tu mkuu jamaa sasa hivi atakua anailaumu hata dyudyu kwanini ilisimama siku hiyoSasa mkuu unashangaa iliingiaje akati uliiingiza dyudyu
sema wewe ikataee tu mtakutana mbele kwa mbelee maana ndoa yako inavunjikaa
Vitisho ni kwa sababu anakuona boya.Hata , mm nimewaza hivi mkuu ila khaa ! Ananipa vitisho sio vya inchi hii
Ubaya anapajua ninapoishi hilo ndo kosa kubwa nimefanya