Nimemtia mimba mchepuko na kutoa hataki

Nimemtia mimba mchepuko na kutoa hataki

Ushauri mzur mkuu ,asante , kiukwel kabila la huyu mchepuko kidog linanipa ukakasi kuzaa nalo

Hivyo nimempa mimba nilikua najua last period day yake so alikua ktk safe days chakushangaza kitu kimesoma daah

Kweli kifo cha nyani
Inawezekana unabambikiwa kuwa makini
 
Hii ndoa haina maisha walahii..tena ukute binti mzaramo anaishi kwaoo Mbona analetwa na kigodoro kwako
Bahati mbaya unakuta kamchepuko hakaeleweki kabisa ulikua unapoza njaa tu yaani kila mtu akisikia anakushangaa uliendaje! 😂😂😂😂😂
 
Bahati mbaya unakuta kamchepuko hakaeleweki kabisa ulikua unapoza njaa tu yaani kila mtu akisikia anakushangaa uliendaje!
Noma sana mkuu.. Yani alafu ukichepuka na kimwanamke kibaya kuliko mkeo mkeo anakudharau sana anaweza hata asikusamehee...Chepuka na kisuu uonee yani ataliaa lakini anakusamehee..
 
Kwaiyo mkuu unataka kushiriki dhambi ya kuuua kiumbe kishichokua na hatia.....??!!! Thamani ya hicho kiumbe ni zaidi ya hata kuachana na huyo mke wako. Muache ajifungue then mbele ya safari utakuja kumuelewesha huyo mke wako.
Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days

Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Huyo Sio Mchepuko Bhana. Mpaka Unafatilia SKU Zake? Yaani Unamfahamu Kama Mkeo.

Kitanda Hakizai Haramu Mkuu, Kubali Matokeo Tu. Anaeza Kuja Kuwa MTU Muhimu Katika Maisha Yako!
 
Ukizaa na mchepuko hakikisha una fungu la kutosha ili usiharibu ndoa yako
 
Hongera Baba kijacho. Ungetumia ndom uzi hakuna. Maandalizi ya mahitaji muhimu ya kijacho yanakuhusu.

Kama kichwa cha habar hapo juu,

Few weeks hivi nyuma nilipata kamchepuko na kwa bahat wife hakuwepo basi nikapanga kumeet nae. Siku ikafika nikapiga show mpaka kuchee

Baada ya siku chache mchepuko unaniambia umenasa mimba yangu. Nikasema isiwe shida kwa vile sio dent ingawa anaishi home kwao na wazazi nikasema ngoja nije kuhakikisha kwanza

Baada ya kuja nikapima kweli kitu ni positive nikawa relaxed ili asisome my emotional ili nimconvice ki siasa atoe ila daaah aisee

Demu kakataa kata kata anasema yee hawezi kutoa katu. Ubaya anajua kama nimeoa na anapajua hadi ninapoishi

Sasa hivi ananipa vitisho lukuki maara ooh usiniambie kabisa kuhusu kutoa tusije kufikishana mbali mara nitakuja sku moja kuonana na mrs wako ajue kuna mwenzake yaan daah akili yangu imechoka

Kweli michepuko kokoto ni balaaa hapa pozi lote limeniishia natamani hata muda urudi nyuma

Naomba wale waliokutana na situation kama hii hemu nipeni ushauri kidogo mliikwepaje huu mkasa
 
Aaah jiandae kulea tu, usitende dhambi ya kuua maana utahukumiwa
 
Cha msingi mweke wazi mkeo licha ya mtiti lakini yataisha tu.
Mimi sokushawishi kutoa
subir azae ..mtunze...mtoto akishazaliwa mueleze mkeo....au mueleze mkeo ...siku yeye akija kumueleza tayari "HABARI ZAKE NINAZO"
what if wewe ni mume wangu afu sijui id yako huku jf
hahhaha aisee usije nieleza hii habari
kaa nalo pekee yako
Mama Yeyo Hujui Kuwa Kitanda Hakizai Haramu?
Mimba Ishanasa Apambane Na Hali Yake Bhana
 
Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days

Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Wengine vizazi vyao vipo karibu Kama wadada wa kazi
 
Okay. Kwanza relax. Mwambie asikusumbue upo na mke. Mwache mtoto azaliwe
 
Mmh ila wana jf kama vile ni wachawi hivi wwngine , 😀 😀 😀 😀 ulijuaje kama likizo ya wife ilikua ni ya week moja tu

Daah salute kwenu
Hahahahaha usikute mwenye id hii anajuana na huyo mchepuko wako
 
Nilijua sku gani aliingia period ya last , kwaiyo nikawa nafatilia kalender yake so alikua kwenye safe days

Yaan daah hadi nashangaa hii mimba sku ile imeingiaje
Sasa mkuu unashangaa iliingiaje akati uliiingiza dyudyu sema wewe ikataee tu mtakutana mbele kwa mbelee maana ndoa yako inavunjikaa
 
Noma sana mkuu.. Yani alafu ukichepuka na kimwanamke kibaya kuliko mkeo mkeo anakudharau sana anaweza hata asikusamehee...Chepuka na kisuu uonee yani ataliaa lakini anakusamehee..
😂😂😂😂😂😂😂mzee mwenzetu hapa anashida sana!
Masaa ya hii ndoa yanahesabika kabisa
 
Kalenda hufanya kazi vizuri sana kwa mtu ambaye hali zake zote ziko vizuri yaani afya ya mwili, akili, lishe na hali ya hewa. Lakini pia inabidi ujue anamzunguko wa siku ngapi. Kama mzunguko wake ni chini ya siku 27 au 28 njia ya kalenda daima huwa ni batili.
Huo ni msalaba wako mpya ubebe bila kuongeza mwingine wa kuua.
Pole sana mkuu
Na Kama mzunguko Ni siku 33,34 au 35???
 
Sasa mkuu unashangaa iliingiaje akati uliiingiza dyudyu sema wewe ikataee tu mtakutana mbele kwa mbelee maana ndoa yako inavunjikaa
Haya mambo yasikie tu mkuu jamaa sasa hivi atakua anailaumu hata dyudyu kwanini ilisimama siku hiyo
 
Kuna mshijaki humu alimpaga demu mimba afu alikuwa hana mpango nae na demu akamgandaa balaa... mwana ikafika point akatamani hataa amuue ili aishi kwa amanii..
 
Naamini leo unazilaani sana nyege mshindo. Mjitahidi kuomba ushauri mapema kabla ya kuharibu, ww ulipoenda kutia kavu na ulijijua una mke ulitarajia nini.. Usawa ulivyo mgumu huu kupata m'ume alafu ww mwenyew ukajipeleka jiandae kuwa mateka wake. Huyo hakuachi ndio kashajipatia hapo alikuwa anakucheki tu ulivyokuwa unafurahia kumwagia ndani
 
Back
Top Bottom