colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
- Thread starter
- #61
Mmh ila wana jf kama vile ni wachawi hivi wwngine , 😀 😀 😀 😀 ulijuaje kama likizo ya wife ilikua ni ya week moja tuSasa Mkuu ulitegemea nikushauri nin? Km likizo ya weak moja tu kwa mkeo ushatia mimba akienda mwezi si atakuta umefanya vikao vya harusi na umefunga ndoa mpya ungekua wew ndio umesafir ukakuta mkeo anamimba ungemuacha ndan? Na kumshauri atoe au??? Munaangaika Sana TULIENI KWENYE NDOA ZENU sasa huu ni mwaka wako wa aibu na wengine km wew wajifunze.
Daah salute kwenu

oya Jibebebee,