Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Aisee kaka unatoa ushauri wa kikatili kiasi hikikumbe uko naye muda mrefu mpaka umeujua mzunguko wake wa mwezi?
hapo umelikoroga, kata mawasiliano mwambie huhusiki unasubiri DNA
au kubali lipasuke tu kwa wife na wewe mruke yaani kuanzia sasa usimfuate tene likisanuka mwambie wife huyo mdada si size yako
