Nimemsamehe mapema

Nimemsamehe mapema

Swali la Kizushi.

Bado Mjamzito?

Au ameshajifungua?

Jibu kwanza Suali langu ili nipate kukusaidia.

Maana hapo kwenye Ujauzito hukufunguka tena.

Ni kama kuna kitu fulani unakificha.

Hebu funguka kwanza
Kaisha jifungua mkuu na saizi mtoto anakaribia miaka miwili
 
Kaa na mama yake na huyo binti akiwemo ongea nao kuwa huna lengo baya la kuwafanyia, na unampenda binti yake na upo tayari kuishi naye kwa namna yeyote ile, kikubwa ni kwamba mama mkwe anaonekana hapendezwi na wewe sasa jaribu kutafuta muda ukae naye umueleweshe tena kwa ushawishi nadhani atakuelewa kwa sababu yeye ni mtu mzima.

Sawasawa mkuu
 
aisee ukiona wazaz hawatak mwanao aolewe na mtu wala usilazimishe! kwanza huyo mama anaoneka yupo kimaslahi! na bint kakurudia wewe kwasababu kwakwe kuchungu! sema ndo hvyo umezama penzini ngumu kunielewa! akitokea kibosile mmoja mama atamuuza mwanae tena kwa kibosile ww kazi yako kula makombozi!... binafs naogopa wakwe km hao! pole!

na sasa hv mama lazima awe na kaadab kwasabb umempa mtaj binti yake! yaan ww utakuwa wakuendeshwa till u die na huyo mama!

Ngumu kumeza
 
Kulazimisha penzi ni sawa na kulazimisha fani kisha' unakuja kuleta utani...

Kuwa mkweli, hata baada ya hayo yote kweli kabisa kabisa bado unampenda... Sidhani kama ni kweli...


Cc: mahondaw
 
Kulazimisha penzi ni sawa na kulazimisha fani kisha' unakuja kuleta utani...

Kuwa mkweli, hata baada ya hayo yote kweli kabisa kabisa bado unampenda... Sidhani kama ni kweli...


Cc: mahondaw

Mkuu bado nampenda ila shidaa mama wa binti anamwambia binti yake kuwa huyoo mwanaume anaweza kukusaliti any time kwa uliyomtendea hapoo ndipo inaanzia mkuu wakati Mimi Sina mpango mbaya
 
Kama unamsaidia msaidie kama kumsaidia ila mapenzi noo.
Yuko kwako kwakuwa hayakumwendea vizuri yangemwendea wala asingekuwa kwako, so kilichomrudisha kwako siyo mapenzi.
 
Back
Top Bottom