kosa la kwanza la huyo girlfriend wako ambalo ndio kiini cha tatizo ni kukusifia kwa marafiki zake kuwa kuwa your gud on bed!!! huwa sielewi kwanini mambo ya chumbani watu wanayaweka kibarazani, ilitosha kuwaambia mrafiki zake kuwa ana mtu ila hayo ya uzuri na sifa zingine alitakiwa kubaki nazo msifiane chumbani wenyewe.
kosa la pili huyo rafiki nae ni msaliti, na mnafiki si wa kuaminika hata kidogo, kama anaweza kumzunguka rafiki yake waloshibana kisa tu kasikia sifa ujue hata wewe ukiendelea nae akasikia sifa nzuri kwingine anakuzunguka hata kwa rafiki yako wa karibu.
tatu wewe binafsi ni mwanaume usie na msimamo na ambae huwezi kuzuia tamaaa zako, kama unajua kabisa ni shemeji yako unanasa vipi kwa mfano, kwaiyo nawe binti akija akakusifia tu unanasa na kusahau kila kitu. sasa cha msingi ushafanya kosa usilirudie, mkanye huyo binti na mkatishe mahusiano kama mmeanza if at all unampenda msichana wako, haileti heshima umekaa na mpenzio halafu rafiki yake yupo hapo anakujua in and out.
kama mpenzi wako ni mwelewa unaweza mwambia ukweli ukamsingizia kosa shetanikuwa alikupitia ili ajue aina ya marafiki alionao hii itasaidia hata pale rafiki huyo akitaka kukuharibia....ilaaa fanya hivyo tu kama una uhakika utasamehewa ww ndo wamjua mwenzio vizuri reaction yake akichukia.