Nimemsaidia mdada nikidhani mjamzito

Hao tunawaita malegendary, hapo kwenye "kesho nikutafute" yaani kapindua meza, badala wewe ndio uombe kumtoa out yeye ndio anaomba, narudia huyo ni LEGENDARY ,

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Kumbe bado kuna wanaume MNA akili
 
Mkumbushe akakate Tin namba mwisho kesho...!
 
hizo ndio akili? yani dada ana chura halafu unamuacha hivihivi?
Dah! Kwenye miti hapana wajenzi
Si kila mti ni wa kujengea mingine imeliwa na mchwa
 
Mjamzito si mgonjwa. Na namba ya simu juu. Hivi hizi namba za simu zinakusanywa tu, kila mtu akutanapo na mtu!
 
Kuwapa kipaumbele wakina mama wajawazito ila wengine ni viliba tumbo/vitambi vya bia tu.
Kuna mdada namjua naye ana tumbo kama ana mimba, umepita mwaka ndo nagundua siyo mjamzito. Afu ni kadoogo hakana hata mwili, sijui katoa wapi lile tumbo masikini..
 
Kuna mdada namjua naye ana tumbo kama ana mimba, umepita mwaka ndo nagundua siyo mjamzito. Afu ni kadoogo hakana hata mwili, sijui katoa wapi lile tumbo masikini..
Kuna mhudumu mmoja yupo mkoa mmoja kaskazini pub moja maarufu sana. Sijui hana msaada?
 
Mademu wengi wa kibongo siku hizi wana muonekano wa ujauzito kutokana na kunywa pombe hovyo, kutofanya mazoezi, na kula bila mpangilio. Sasa imagine huyo alikuwa na muonekano wa ujauzito wa miezi 9, je akishika mimba atakuwa vipi?
 
Hilo litakuwa tumbo linalofugwa kwa bia,nyama choma,,vidonge vya uzazi wa mpango,na shahawa dadeki utakuta jitu linanawili tu na kutakata ,kumbe ni mibia na minyama choma na shahawa tu tumbo linamtoka
 
Kwa hiyo mkuu no yake unayo hapo karibu?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…