Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 245
- 721
Embu tuambia tunatokaje kwenye mkwamo wa kuita watanzania ni laana, washamba, na ni maskini?Aisee binafsi nimekuwa nampinga Lema toka afike nchini na kuibua hoja mbali mbali. Lakini sasa naomba niseme samahani Lema nimekukosea Sana.
Nimekaa kwenye tafakari siku 3 nikagundua kwamba jamii ya wtz iko gizani hivyo hiawezi kung'amua hoja nzigo za Lema,,,na bahati mbaya hata wenye kuelewa hawasemi maana pengine wananufaika na umaskini huu wa mtz.
Haiwezekani nifanye kazi ambayo hainihakikishii maisha bora uzeeni (bodaboda) alafu niite ni ajira njema,,,kwa wakulima hii tunaiita subsistance farming yaani unalimia tumbo tu.
Kuhusu kujali haki za watu Lema kaongea uhakika kabisa,,ukitaka kujua hili nenda kutafuta huduma katika ofisi za umma ndio utaelewa nchi hii ina Safari ndefu Sana .
Kuhusu afya nenda hospitali kajionee vituko katika korido za hospitali ambao mgonjwa anachukuliwa Kama mtu asiefaa,anatukanwa na manesi utadhani nguruwe pori.
Mama wajawazito maskini utadhani labda kubeba mimba ni dhambi kwao,,wanatuknwa mpaka sio poa,,,wanajifungua kwa kupigwa makofi na kusimangwa hadi huruma,,sasa Lema akisema mbwa Canada ana thamani kuliko binadamu tz ana kosa gani!?
Nimejiona mjinga nilipojaribu kusema eti huwezi fananisha Tz na Canada,,nkajijibu kwani Canada wamewezaje kufika hapo na sisi tumeshindwaje kufika hatua nzuri,,,inakuwaje tuwe na rasilimali alafu tushindwe kuzibadilisha kuwa utajiri!? Je,tumeshindwa kuwekeza katika akili za watu wetu!? Na nini kimetufanya tushindwe kuitumia rasilimali watu kuwa nyenzo muhimu kujiletea maendeleo!?
Ndg Lema amefichua misukule ya watu iliyofichwa miaka mingi hivyo lazima wenye misukule wawe wakali.
Tungekuwa na akili Kama taifa na vyombo vya hbr huru vinavyojua kuona mbali,,tungezitumia ajenda za Lema haraka Sana iwe ndo mjadala ili tujue tunatokaje kwenye mkwamo huu.
Tunahitaji akina Lema Kama 20 tu then Taifa litaacha kuzungumzia Mambo mepesi.
Jamani ubodaboda siyo kazi nmefkiria Sana,,,we mtu unafanyaje kazi eti mwl unalipwa tsh 400,000/ sijui Askari sh.400,000 alafu useme Lema anatukana watu.
Ni bahati mbaya hatuna watu wa kukuza mijadala Kama hii,,,vyombo vya habari vimekalia uchawa.
Mlinda legacy upo fasta 🤣🤣🤣Lema baada ya kukataliwa humu kwa uropokaji wake ameamua kila baada ya nusu saa kuleta uzi mpya .Haisaidii chochote ulisharopoka na umeonekana mtu wa ovyo kupita maelezo aisee. Hata hivyo sio vibaya tukajikumbusha yafuatayo toka kwa Lema:
View attachment 2556959
Lema alisema kuwa mbwa wa canada ana heshima na utu kuliko watanzania ,sasa huwa najiuliza kilichomrejesha nchi ni nini?Haya mambo yote unayotaja humu umeyasguhudia wapi mkuu
Alisharopoka na hasafishiki tena clip zake zote za upuuzi tumiziifadhi na tutazitumia muda muafakaMlinda legacy upo fasta 🤣🤣🤣
Shukran mkuuAisee binafsi nimekuwa nampinga Lema toka afike nchini na kuibua hoja mbali mbali. Lakini sasa naomba niseme samahani Lema nimekukosea Sana.
Nimekaa kwenye tafakari siku 3 nikagundua kwamba jamii ya wtz iko gizani hivyo hiawezi kung'amua hoja nzigo za Lema,,,na bahati mbaya hata wenye kuelewa hawasemi maana pengine wananufaika na umaskini huu wa mtz.
Haiwezekani nifanye kazi ambayo hainihakikishii maisha bora uzeeni (bodaboda) alafu niite ni ajira njema,,,kwa wakulima hii tunaiita subsistance farming yaani unalimia tumbo tu.
Kuhusu kujali haki za watu Lema kaongea uhakika kabisa,,ukitaka kujua hili nenda kutafuta huduma katika ofisi za umma ndio utaelewa nchi hii ina Safari ndefu Sana .
Kuhusu afya nenda hospitali kajionee vituko katika korido za hospitali ambao mgonjwa anachukuliwa Kama mtu asiefaa,anatukanwa na manesi utadhani nguruwe pori.
Mama wajawazito maskini utadhani labda kubeba mimba ni dhambi kwao,,wanatuknwa mpaka sio poa,,,wanajifungua kwa kupigwa makofi na kusimangwa hadi huruma,,sasa Lema akisema mbwa Canada ana thamani kuliko binadamu tz ana kosa gani!?
Nimejiona mjinga nilipojaribu kusema eti huwezi fananisha Tz na Canada,,nkajijibu kwani Canada wamewezaje kufika hapo na sisi tumeshindwaje kufika hatua nzuri,,,inakuwaje tuwe na rasilimali alafu tushindwe kuzibadilisha kuwa utajiri!? Je,tumeshindwa kuwekeza katika akili za watu wetu!? Na nini kimetufanya tushindwe kuitumia rasilimali watu kuwa nyenzo muhimu kujiletea maendeleo!?
Ndg Lema amefichua misukule ya watu iliyofichwa miaka mingi hivyo lazima wenye misukule wawe wakali.
Tungekuwa na akili Kama taifa na vyombo vya hbr huru vinavyojua kuona mbali,,tungezitumia ajenda za Lema haraka Sana iwe ndo mjadala ili tujue tunatokaje kwenye mkwamo huu.
Tunahitaji akina Lema Kama 20 tu then Taifa litaacha kuzungumzia Mambo mepesi.
Jamani ubodaboda siyo kazi nmefkiria Sana,,,we mtu unafanyaje kazi eti mwl unalipwa tsh 400,000/ sijui Askari sh.400,000 alafu useme Lema anatukana watu.
Ni bahati mbaya hatuna watu wa kukuza mijadala Kama hii,,,vyombo vya habari vimekalia uchawa.
Kama ulivyotunza za marehemu unadhani atarudi tena utakaa nazo hadi unakufaAlisharopoka na hasafishiki tena clip zake zote za upuuzi tumiziifadhi na tutazitumia muda muafaka
Embu tuambia tunatokaje kwenye mkwamo wa kuita watanzania ni laana ,washamba ,na ni maskini?
Maskini wtz bado tunawaza takataka za uchaguzi!! Wee ni chata halisi ya mtu mweusi ebu kuwa serious yaani huoni Lema katuamsha!? Acha ulafi kufikiria uchaguzi mzee hapa ndipo tunakwama.Alisharopoka na hasafishiki tena clip zake zote za upuuzi tumiziifadhi na tutazitumia muda muafaka
kakataliwa na sukuma gang ambao hawana athari yoyote kwa lema. wamebaki malaya wanaojiuza jf wakizan lema ni size yao.Lema baada ya kukataliwa humu kwa uropokaji wake ameamua kila baada ya nusu saa kuleta uzi mpya .Haisaidii chochote ulisharopoka na umeonekana mtu wa ovyo kupita maelezo aisee. Hata hivyo sio vibaya tukajikumbusha yafuatayo toka kwa Lema:
View attachment 2556959
Lema na kaka yake Mbowe lazima tuwapongeze kwa kulea vijana wajinga kama weweKama ulivyotunza za marehemu unadhani atarudi tena utakaa nazo hadi unakufa
Clip kama hizi?👇👇👇Alisharopoka na hasafishiki tena clip zake zote za upuuzi tumiziifadhi na tutazitumia muda muafaka
Embu tuambia tunatokaje kwenye mkwamo wa kuita watanzania ni laana ,washamba ,na ni maskini?
Maskini wtz bado tunawaza takataka za uchaguzi!! Wee ni chata halisi ya mtu mweusi ebu kuwa serious yaani huoni Lema katuamsha!? Acha ulafi kufikiria uchaguzi mzee hapa ndipo tunakwamaAlisharopoka na hasafishiki tena clip zake zote za upuuzi tumiziifadhi na tutazitumia muda muafaka
Kaja kuitoa misukule iliyofichwa chumbani miaka mingi ikila unga ikidhani ndo chakulaLema alisema kuwa mbwa wa canada ana heshima na utu kuliko watanzania ,sasa huwa najiuliza kilichomrejesha nchi ni nini?
Embu tuambia tunatokaje kwenye mkwamo wa kuita watanzania ni laana ,washamba ,na ni maskini?
Kachunge ng'ombe tu mzee mambo haya mmedandia sio level yenu!!Mbwa canada ana utu kuliko mtanzania, hivi anafanya nini hapa Tanzania?
Akiamungu tukipata watu wanaosema ukweli Kama Lema bila kujali atapoteza kura hili Taifa litafika mbali mnooo!!Wachache sana wa kuona hili ila ukweli Lema kakamata penyewe bahati mbaya jamii ya kiafrika haitaki kusikia ukweli inataka uongo wa kujiliwaza tu lakini Lemma yuko maili mia mbele.
Lema kaamsha wajinga mkuu ,matusi yake ka mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi muelewa lema .Ataeleweka kwa vilaza wenzake tu.Maskini wtz bado tunawaza takataka za uchaguzi!! Wee ni chata halisi ya mtu mweusi ebu kuwa serious yaani huoni Lema katuamsha!? Acha ulafi kufikiria uchaguzi mzee hapa ndipo tunakwama
Kaja kuitoa misukule iliyofichwa chumbani miaka mingi ikila unga ikidhani ndo chakula
Yeye Lema binafsi kashindwa kufika mbali ndio maana kaamua siasa ndio maisha yake ,acheni utani bana.Akiamungu tukipata watu wanaosema ukweli Kama Lema bila kujali atapoteza kura hili Taifa litafika mbali mnooo!!