Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Ndugu zangu,habari zenu.
Ni matumaini yangu kuwa sote tunaendelea vizuri na majukumu yetu ya kila siku.
Ndugu yenu nimepata namasaibu yanayonitatiza na sijapata ufumbuzi. Ni hivi,nimejigundua kwamba nimefall in love na mtu ambaye sijawahi kumuona,sijui yeye ni nani,ana umri gani,kabila lake,ameoa ama la,ana mchumba ama la kifupi ni kuwa simfahamu kabisa.Huyu mtu nimchambuzi wa mambo mbalimbali ya siasa,uchumi n.k. Na kwa bahati mbaya sana tunaishi mbali mi niko Tz mwenzangu yuko nje ya nchi wala sijui yuko nchi gani.
Jamani am serious in love with this person,nifanye mwenzenu naugua kwa mahaba,siko tayari kulikosa penzi lake..Naombeni mbinu zenu nifanyeje ili awe wangu wa maisha.
Tafadhali naombeni ushauri wa kweli,tuache utani,am serious.
aisee hayo ni masahibu makubwa sana; la maana we mmwagie sera tu akikuelewa basi ndiyo hivyo tena amekuwa wako. La maana usikate tamaa.
Mzee Mwanakijiji, huyo anayependwa ni dada au kaka? mbona kasema hajui kama "ameoa ama la?"
he he hee,nahisi hii sredi ni yako mkuu huyu mama kakuzimia ka avatar kako na mapolitiki.mmh.. basi miye ndio nimepatwa na utata; labda itabidi aje kutufafanulia..
Fixed point we to ushauri wako kulingana na srdi husika.Habari za kujua jinsia ya mpendwa au mpenda haina maana kwa sasa..We saidia bila kujali jinsia kwani mapenzi hayana jinsia na kutongoza au kutongozwa hakuangalii jinsia pia..Mwaga point basi..
mmh.. basi miye ndio nimepatwa na utata; labda itabidi aje kutufafanulia..
he he hee,nahisi hii sredi ni yako mkuu huyu mama kakuzimia ka avatar kako na mapolitiki.
he he hee,nahisi hii sredi ni yako mkuu huyu mama kakuzimia ka avatar kako na mapolitiki.
Ana mshiko lakini au umempenda tu?