salaam wakuu
kuna dada nimempenda kule fecebook na nilikuwa napitia pitia kwenye sehemu ya " find friends "mara mtoto huyu hapa,nikamwandika private message akajibu,nikaomba urafiki akajibu sasa ni kama week tuna chats ila ni mzuri sana.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?