Nikiwa nae huyu ni full amani ndani kwangu
Wa mbele au wa nyuma?.manake naona wote wana sura za vidume
ha ha ha ha..., kama akiweza kuvunja hizo tiles, jiandae siku mija atakuvunja mgongo..lol
Nikiwa nae huyu ni full amani ndani kwangu
Kwa kweli sie wanaume huwa tunaanza kwanza na kutamani kisha tunamalizia na kupenda, huyu binti nimemtamani sana baadae nakuta nashindwa kujizuia nampenda, waungwana naomba mnisaidie kunilink na huyu binti kama kuna uwezekana mawasiliano ya huko CCP Moshi aliko maliza mafunzo niongee na mkuu wa chuo anisaidie ili niweze kutuliza mtima wangu. Nawasilisha...