Nimempenda huyu binti msaada

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,102


Kwa kweli sie wanaume huwa tunaanza kwanza na kutamani kisha tunamalizia na kupenda, huyu binti nimemtamani sana baadae nakuta nashindwa kujizuia nampenda, waungwana naomba mnisaidie kunilink na huyu binti kama kuna uwezekana mawasiliano ya huko CCP Moshi aliko maliza mafunzo niongee na mkuu wa chuo anisaidie ili niweze kutuliza mtima wangu. Nawasilisha...
 
ha ha ha ha..., kama akiweza kuvunja hizo tiles, jiandae siku mija atakuvunja mgongo..lol
 
Hapa mkuu unatafuta matatizo...
 
Jisemee wew,na sio wakiume wote ndo ka we!
 
katika enzi hizi za sayansi na teknolojia sisi tunashindana kwa kuvunja vigae wakati wenzetu wanashindana kwa kuvumbua vitu vya maana.ina maana miezi yote tisa alikuwa anajifunza kuvunja mawe
 
Nimeamini kuwa mapenzi ni upofu.Haya kaka c umependa mwenyewe?
 
hahahahahahahahah......mi sina hata lakuongea zaid ya kucheka tu.Kila la kheri bro utampata kaza buti.
 
Wa mbele au wa nyuma?.manake naona wote wana sura za vidume
 

Duh! Uko tayari ku-share na wakubwa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…