Danisamweswa
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 453
- 154
hizo zawadi kawape wazungu au watoto wa masaki mademu wa manzese wanaitaji ela wakasaidie familia zao au wakalipe kodi
hizo zawadi kawape wazungu au watoto wa masaki mademu wa manzese wanaitaji ela wakasaidie familia zao au wakalipe kodi
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.