BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,738
- 3,199
Yamenikuta leo jumapili!
Leo siku ya wapendanao nasoma gazeti langu la JF sitting room.nimeona msichana wa kazi anajongea akionyesha anajambo anataka kunialifu.nikampa nafasi aongee kaniambia 'JIrani anaazima kibao cha Nazi' nimeshtuka,sijawahi sikia hilo toka nimeanza kuishi Dar,naamini ni kutokana na mazingira na malezi niliyolelewa.
Huyu jirani ni mpangaji wangu ambaye anaishi nje ya uzio wa nyumba ninayoishi.nimemwambia Dada wa kazi kuna vitu vya kuazima kama jembe/shoka n.k lakini sio kila kitu unaazimisha asipewe kwakuwa ni kifaa cha msingi anapaswa kuwa nacho.
Yawezekana ataniona kauzu, lakini napenda ajifunze the hard way kuwa sio kila kitu unaazima kwa jirani. Hata kama umezoea uswahilini,ukifika kwa washua jipange vitu vya kuwashirikisha kabla hujapoteza heshima yako na sifa ya kukaa na hao majirani.
Tupate funzo wakuu, Bongo tegemea kusikia yale ambayo hujawahi sikia au kufikiria.
Leo siku ya wapendanao nasoma gazeti langu la JF sitting room.nimeona msichana wa kazi anajongea akionyesha anajambo anataka kunialifu.nikampa nafasi aongee kaniambia 'JIrani anaazima kibao cha Nazi' nimeshtuka,sijawahi sikia hilo toka nimeanza kuishi Dar,naamini ni kutokana na mazingira na malezi niliyolelewa.
Huyu jirani ni mpangaji wangu ambaye anaishi nje ya uzio wa nyumba ninayoishi.nimemwambia Dada wa kazi kuna vitu vya kuazima kama jembe/shoka n.k lakini sio kila kitu unaazimisha asipewe kwakuwa ni kifaa cha msingi anapaswa kuwa nacho.
Yawezekana ataniona kauzu, lakini napenda ajifunze the hard way kuwa sio kila kitu unaazima kwa jirani. Hata kama umezoea uswahilini,ukifika kwa washua jipange vitu vya kuwashirikisha kabla hujapoteza heshima yako na sifa ya kukaa na hao majirani.
Tupate funzo wakuu, Bongo tegemea kusikia yale ambayo hujawahi sikia au kufikiria.