Chaz Lee
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 588
- 494
Direct kwenye mada..
Wanawake jaribuni kuwa na huruma japo kidogo, yani juzi tu apa nimemnunulia demu wangu smart cha kushangaza ikifika saa nne usiku tu kila nikipiga ipo busy mpaka saa tano.. Swali ni kwamba anaongea na nani au ndio nimeuzwa tayari? Tupeane mawazo nisije panic hapa
Pumbav sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake jaribuni kuwa na huruma japo kidogo, yani juzi tu apa nimemnunulia demu wangu smart cha kushangaza ikifika saa nne usiku tu kila nikipiga ipo busy mpaka saa tano.. Swali ni kwamba anaongea na nani au ndio nimeuzwa tayari? Tupeane mawazo nisije panic hapa
Pumbav sana
Sent using Jamii Forums mobile app