Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
YAni NYANI unavyoandika hizi message zazko kwa hisia hata sielewi hiyo siku ,mungu epushia mambo yawe salama kwako maana lol...una hasira
<br />Ukiamua kulea mimba ya mbakaji wako mimi siwezi kuishi na wewe tena kama mume na mke. Nitakuacha niendelee na maisha yangu. <br />
<br />
<br />
<br />
Ooh kama ni hivyo basi mbona atakuwa karahisisha kazi. Nitakachofanya ni kusepa na kusonga mbele na maisha yangu. Yeye hanipi uhai wangu. Nilikuwepo kabla yake na nitakuwepo baada yake. <br />
<br />
<br />
<br />
Hudhani kama atakuja kukukosea tena? Kama hakushindwa kujizuia kukosea mara ya kwanza ni nini kitakachomfanya asikosee safari zijazo? Na kwenye kuchiti hakuna cha eti ulikosea mara moja maana hilo tendo la ngono ukiondoa kubakwa huwaga ni la kupangwa. <br />
<br />
Kuna mchakato mzima unaolitangulia. Kuna kupapasana, kuna kuvua au kuvuana nguo, kuna kujiweka sawa katika mtindo mtakaotumia na kadhalika na kadhalika. Sasa hilo mtu unaweza ukaliita ni kosa la bahati mbaya? Abadani asilani, hilo ni kosa la kupangwa.<br />
<br />
Ila mwisho wa siku, kilicho muhimu na cha msingi ni uamuzi wa mtu husika. Kama mtu akiamua kumsamehe mwenzake baada ya kutendwa hivyo basi huo ni uamuzi wake na ana haki ya kuamua alivyoamua. Binafsi siwezi kusamehe. Nitakuacha papo hapo pasipo hata na majadiliano. Wanawake wako wengi mno kuendelea kung'ang'ania kubakia na wewe kama vile sina options zingine maishani.
<br />Daah! Kumbe hisia zangu zinaonekana hata kwenye maandishi yangu! Itabidi nibadili mtindo wa uandikaji sasa…
<br />
<br />
siwezi kukupinga utakavyoamua ila tukio kama hilo ni ngumu kuwa ushajua utafanyaje. Inawezekana yatakapokukuta utafanya tofauti na hayo.
Msamehe tu,kwani wewe huko hukumega?tofauti tu ni kwamba yeye kapata mimba.Msamehe msonge mbele
Mkuu..hiyo issue inakuuma kwa sababu ni 'Caught Red Handed' kwa nini usijiulize kati ya watoto 100 wanaozaliwa 25 si wa baba halisi..
Wewe ni msafi? umeshatafuna wazungu wangapi? Je mmoja ya hao wazungu kondomu haikutoboka na labda huyo mzungu umemwacha mjauzito bila kujijua?
sitaki kukumbuka juu ya hii mada..yalinikuta...
Hizi takwimu umezitoa wapi? Naomba chanzo tafadhali.
Nikipunguza sample na ku-focus Tanzania wigo unaongezeka toka 25% niliyosema hadi 60% hivyo basi Tanzania kati ya watoto 100 wanaozaliwa 60 tumezingiziwa. na 40 tu ndio wa ukweli. soma thread hapo chini ambayo ilipita hapa JF ..utapata chanzo ..
https://www.jamiiforums.com/mahusia...he-biological-fathers-nendaeni-mkapime-2.html
Wewe ni msafi? umeshatafuna wazungu wangapi? Je mmoja ya hao wazungu kondomu haikutoboka na labda huyo mzungu umemwacha mjauzito bila kujijua?
Nikipunguza sample na ku-focus Tanzania wigo unaongezeka toka 25% niliyosema hadi 60% hivyo basi Tanzania kati ya watoto 100 wanaozaliwa 60 tumezingiziwa. na 40 tu ndio wa ukweli. soma thread hapo chini ambayo ilipita hapa JF ..utapata chanzo ..
https://www.jamiiforums.com/mahusia...he-biological-fathers-nendaeni-mkapime-2.html
The Government Chemist Laboratory Agency has said that among the 250 deoxyribonucleic acid (DNA) samples it received for disputed parentage cases in the year 2005/2006, at least 60 per cent of the cases proved that the male parents were not the biological fathers of the children.
Na hii ya wazungu inahusika vipi?
kwa walio wengi kule uswazi ..nje ya nchi sio Malawi au Burundi ni "Ulaya" hata ikiwa United States of America.. ..Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi,
Ah..nilisahau ya wazungu .. hiyo ni nadharia ya uandishi kwani mtoa mada alisema kwa walio wengi kule uswazi ..nje ya nchi sio Malawi au Burundi ni "Ulaya" hata ikiwa United States of America.. ..
Hata Uchina na Japan?
Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya kitu gani?