Kwan alijua kama atakuja kukutana na wwWakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....
Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.
Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..
Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?
Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....
Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....
Kuna ambae kakutana na haya?
Na men mweny tatoo je Hafai mkuki kwa binadamDemu mwenye tatoo hafai hata kwa dawa....
Hilo lilikuwa agano kati yake na huyo mpenzi wake wa zamani.Spiritually (kikristo) mtu anapochora tatoo anaingia kwenye covenant au agano ambalo linamfanya tabia na mwenendo wake ziendane agano aliloingia kwa kujua au kutokujua na ndiyo sababu mtu mwenye tatoo lazima atahakikisha inaonekana popote ilipo, hata mavazi yake atavaa yanayoonesha tatoo hata kama ipo kwenye t*ko.
Bahati mbaya wengi huchukulia kuwa ni kawaida hivyo hawachukua hatua ya kuombewa na kuvunja covenant. Ndiyo maana hata wanaokupa maoni wanakupa kwa kuchukulia kirahisi tu, jaribu kutafakari mtu ana ujasiri gani wa kutulia nankuchora tatoo karibu kabisa na sehemu za siri?
Sababu wewe ndo unamfahamu unaweza kuamua chochote ila una haki ya kufikiri mara mbili juu ya uhusiano wako haswaa mahusiano yenu na Mungu. Vinginevyo, utaikumbuka hii post.
Umemuhoji lakn amekupa jibu simple sana na inaonekana wamefanya mambo mengi sana na huyo jamaa take.Kuna demu mmoja hivi mweusi aliwahi kuchora tattoo ya kipepeo na baadae akaja kunenepa, aiseee ile tattoo ilikuwa inaonekana kama kiatu.
Huyo ni Muhuni kama wahuni wenginee...!! Haina kuhoji hiyooo...Na men mweny tatoo je Hafai mkuki kwa binadam
Duh aisee hadi mwakaKawaida sana mkuu hasa kwa kizazi chenu. We unashangaa kachorwa kwenye paja wakati wengine wanachorwa kwenye tunda kabisa. Zaidi ushukuru huyo jamaa hakuandika "Godfrey passed here 2015 - 2017".
Anyway, huo si ugonjwa kama unampenda mpe confidence na msaidie apone huwezi jua waliachana vipi na ni yapi yalimpata huko.
Hamsahau huyo jamaa kamwe! Cha kufamya wewe uwe unapooza mashine ila tafuta demu mwingine.Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....
Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.
Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..
Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?
Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....
Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....
Kuna ambae kakutana na haya?
Demu mwenye tatoo hafai hata kwa dawa....
Mkuu umeandika point imeniingia, mmh kuna kaukweli hapo, yaan mwanamke anaechora tatoo namuona kama muhuni muhuni hvSpiritually (kikristo) mtu anapochora tatoo anaingia kwenye covenant au agano ambalo linamfanya tabia na mwenendo wake ziendane agano aliloingia kwa kujua au kutokujua na ndiyo sababu mtu mwenye tatoo lazima atahakikisha inaonekana popote ilipo, hata mavazi yake atavaa yanayoonesha tatoo hata kama ipo kwenye t*ko.
Bahati mbaya wengi huchukulia kuwa ni kawaida hivyo hawachukua hatua ya kuombewa na kuvunja covenant. Ndiyo maana hata wanaokupa maoni wanakupa kwa kuchukulia kirahisi tu, jaribu kutafakari mtu ana ujasiri gani wa kutulia nankuchora tatoo karibu kabisa na sehemu za siri?
Sababu wewe ndo unamfahamu unaweza kuamua chochote ila una haki ya kufikiri mara mbili juu ya uhusiano wako haswaa mahusiano yenu na Mungu. Vinginevyo, utaikumbuka hii post.
hapo mkuu ni hatari usiovateki utasababisha ajali eneo hilo ni baya sanaTattoo ya lovekwenye paja karibu na papuch kabisaa..
Wakuu,
Kuna manzi tumedumu kwa miezi 4,
Kwa kipindi chote, jana ndo nimefanikiwa ku.....
Kwakipindi kirefy alikuwa ananibania sana, na nimegundua baada ya Janaa.
Ni hivi, huyu manzi kachora Tattoo ya love kwenye paja karibu na papuch kabisaa..
Baada ya game nilimwuliza nani alimchora na kwann alichora sehem hiyo?
Aliniambia alichorwa na mpenzi wake kipinndi hiko ni slay queen, na alikuwa kalewaaa....
Kiukweli, nilitaka nimuoe mwakan ila sasa hili linanisumbua....
Kuna ambae kakutana na haya?