johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Nadhani wakati wa RC Mhaville jijini Dsm mwanajf Pascal Mayalla ulikuwa tayari umeajiriwa RTD na kamanda Mrangi mzee wa Ova ulikuwa unauza Raba za mitumba tukiziita Raba mtoni enzi zile.
Kwa kweli sipati picha kama mzee Mhaville angekuwa ndiye RC wa Dsm nyakati hizi za Corona.
Mzee Mhaville alilimudu jiji aiseee!
Maendeleo hayana vyama!
Duh Mkuu unanikumbusha mbali. Dr. Bashiru was right, baadhi ya viongozi vijana wanahitaji kupingwa msasa. Kuna seriousness fulani inahitajika kwa hawa madogo, sio kila kitu ni kusaka kiki tuu!.Nadhani wakati wa RC Mhaville jijini Dsm mwanajf Pascal Mayalla ulikuwa tayari umeajiriwa RTD na kamanda Mrangi mzee wa Ova ulikuwa unauza Raba za mitumba tukiziita Raba mtoni enzi zile.
Kwa kweli sipati picha kama mzee Mhaville angekuwa ndiye RC wa Dsm nyakati hizi za Corona.
Mzee Mhaville alilimudu jiji aiseee!
Maendeleo hayana vyama!
Duh Mkuu unanikumbusha mbali. Dr. Bashiru was right, baadhi ya viongozi vijana wanahitaji kupingwa msasa. Kuna seriousness fulani inahitajika kwa hawa madogo, sio kila kitu ni kusaka kiki tuu!.
P
5 years of presidential grooming is more than enough.
Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?Makonda ni kama nzi wa chooni,ujinga na yeye ni mapacha!
Akili zenu zimeoza,yaani mnashindwa kutumia hata common sense!Sasa kama tayari mtoto wake ana hiyo Corona,si ndio angekuwa hana cha kupoteza hivyo angesema mikutano pale pale!Nadhani hoja yako ingekuwa na maana kama familia ya Mbowe ingekuwa hakuna mwenye Corona!Sasa mtoto wake ana Corona tayari,sasa anamlinda dhidi ya nini?Akili yako na Bashite ni kama Nzi wa chooni!Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?
Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?
Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa s.hogaHivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?
Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?
Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
5 years of presidential grooming is more than enough.
P
Duh, kumbe kamanda mrangi (mzee wa Ova) alishagawahi kuuza raba za mitumba?Nadhani wakati wa RC Mhaville jijini Dsm mwanajf Pascal Mayalla ulikuwa tayari umeajiriwa RTD na kamanda Mrangi mzee wa Ova ulikuwa unauza Raba za mitumba tukiziita Raba mtoni enzi zile.
Kwa kweli sipati picha kama mzee Mhaville angekuwa ndiye RC wa Dsm nyakati hizi za Corona.
Mzee Mhaville alilimudu jiji aiseee!
Maendeleo hayana vyama!
Nadhani wakati wa RC Mhaville jijini Dsm mwanajf Pascal Mayalla ulikuwa tayari umeajiriwa RTD na kamanda Mrangi mzee wa Ova ulikuwa unauza Raba za mitumba tukiziita Raba mtoni enzi zile.
Kwa kweli sipati picha kama mzee Mhaville angekuwa ndiye RC wa Dsm nyakati hizi za Corona.
Mzee Mhaville alilimudu jiji aiseee!
Maendeleo hayana vyama!
Duh, kumbe kamanda mrangi (mzee wa Ova) alishagawahi kuuza raba za mitumba?
Kumbe hiyo ni swaga ya kisukuma?‘Alishagawahi’
Swaga ya kisukuma hii,safi sana.
DuhDuh, kumbe kamanda mrangi (mzee wa Ova) alishagawahi kuuza raba za mitumba?
DuhNadhani wakati wa RC Mhaville jijini Dsm mwanajf Pascal Mayalla ulikuwa tayari umeajiriwa RTD na kamanda Mrangi mzee wa Ova ulikuwa unauza Raba za mitumba tukiziita Raba mtoni enzi zile.
Kwa kweli sipati picha kama mzee Mhaville angekuwa ndiye RC wa Dsm nyakati hizi za Corona.
Mzee Mhaville alilimudu jiji aiseee!
Maendeleo hayana vyama!
Nimekuelewa bwashee!
Naingia chimbo rasmi nijue Mbowe alikutenda nini. Ni nadra sana kuandika mistari mitatu bila kumtaja Kamanda Mbowe. Ungemtaja Mungu kama unavyomtaja Mbowe pepo ungeenda bila mawaa.Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?
Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?
Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app