technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kanyamaza, Hapendi tena lawama je atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea uchaguzi mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC!
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumali.
Kamanda Shanaa anaitaka hiyo nafasi kwa udi na uvumbaTatizo waliopo chini yake wanamharibia kw kutaka cheo chake kumbuka mwezi juzi hapa alisema live kuna watu /mtu anayaka cheo chake
Usimtishe anaweza akajikojolea! Pompeo sio mchezo.Hi hi hi hi mbona tayari yupo kwenye orodha.
Polisi itazidi kuwa tawi la kijani.
Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Unaogopa nini mkuu?Kashandika barua 2 za kuachia ngazi lakini anakataliwa.
Naomba niishie hapo