Nimemkumbuka Ex wangu

Pole mkuu
 
Yani kuachana nae tu umeenda kukitembeza mara tatu! Na bado unaomba msamaha kwake..
Acheni kukimbilia mahusiano pindi hujamove on hilo linakuongezea CV ya umalaya!
Tulia ukishamsahau anzisha mengine unaweza kuta unajuta kwann hata ulikua na hajiri!😬
 
Mkuu pole sana kama ndo Hajir mhoamed, andika maumivu, nategemea kufunga naye ndoa mwezi Wa 12 tena alinisimulia kila kitu, nina namba yako so ukileta ujuaji naiweka hapa
 
Sorry my King...
Will never leave you mhenga wangu !
Thanks to hear from you, my lady, hoping tomorrow utanielezea if God wish, mana nilikuwa na wasiwasi ya kilichokukuta had ukawa hivyo for those days.
Sleep well.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…