Nimemkumbuka Ex wangu

Leo nimetoka kumwambia mtu tuachane Kwa sababu nilikuwa na Hasira ....Najutaaa........

Natamani nimwambie sori i wasi madi/angri bebi ila no acha nipambane na Hasira zangu ...
 
Na wewe unasave linamba la ex wako la nini??
Uzumbukuku huo
 
 
Sasa unasave namba ya mke wa mtu ya nini??? Akati anakutesa
Mabaharia huwaga hatuteseki hivyo mzeee wanawake mia kidogo huyo mmoja ashaolewa
Ndio nilimpenda sasa, na ndio alinifundisha mapenzi... inshirt sina namba yake, ila anapo nisalimia kwa wahtsapp sio ndio naona profile picture yake... kuna kipindi hadi niliacha kutumia whatspp kukwepa hilo balaaa. ... sio jambo rahisi hata kidogo
 
Hapa umemuandikia yule Hajir wa jeiefu ama wa kitaa?
 
kuna baadh ya binadam ukiwa nao ktk mapenz ningum sana kuwasahau hata kama haukua na mapenz yakwel kwake na hii situation sijui hua inasababishwa na nin
 
kuna baadh ya binadam ukiwa nao ktk mapenz ningum sana kuwasahau hata kama haukua na mapenz yakwel kwake na hii situation sijui hua inasababishwa na nin
 
Mi baharia mbona kitambo ila kwa Hajir wangu nanyong'onyeaga kama kifaranga kilichonyeshewa mvua ya usiku.
Wewe sio Baharia maana mabaharia mpaka tuachane na manzi inakuwa imefika mwisho kabisa sio ww ulifanya kumuacha kumbe bado unampenda . siku nyingine usiende direct kwny kuachana unakuwa mguu ndani mguu njee ili kurudi iwe easy ....
 
Unaambiwa usifanye maamuzi ukiwa na hasira au usiweke ahadi ukiwa na furaha sana...mnakwama wapi
....ukiona una hasira sana kausha hasira zikiisha unarudi kwny common sense yako
Leo nimetoka kumwambia mtu tuachane Kwa sababu nilikuwa na Hasira ....Najutaaa........

Natamani nimwambie sori i wasi madi/angri bebi ila no acha nipambane na Hasira zangu ...
 
Na utamkumbuka Sana kashapata alietambua thaman yake
 
Huwa ni zile moments mnazokuwa pa1...outings...laughs...datings n.k...mkiachana moments turns into memories na apo tatizo ndo huwa linaanzia.
kuna baadh ya binadam ukiwa nao ktk mapenz ningum sana kuwasahau hata kama haukua na mapenz yakwel kwake na hii situation sijui hua inasababishwa na nin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…