Nimemkumbuka Ex wangu

Kama kasha move on, hakuna utakachobadili na hata kama akikurudia nothing will ever be the same again.!!
Learn to accept the reality though it real hurts sometimes, nothing lasts forever, even that pain will cease one day.!!
I can feel you..!!
Thanks for your advice.
 
Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Ni kweli unayosema ila kila binadamu hukosea.
Ni hasira tu zinatokeaga mtu unafanya maamuzi mabaya.
 
Baharia huyu kumbe lengo ni chapa ilale
Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
 
Mmeachana?? Au
1 Umeacha
2 Umeachwa
Kama bado unampenda mpigie simu umueleze ukweli


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Mmeachana?? Au
1 Umeacha
2 Umeachwa
Kama bado unampenda mpigie simu umueleze ukweli


Ndukiiiii
Ameniacha mkuu...mi ndo nilikosea kumzaba makofi nilipomkamata anachat na mwanaume mwingine.
 
Mmmh, anaweza kurudi kama haijajjrudia sana, niliwahi kurudi mara 5 kwa namna hii, ila nilipochoka sijarudi mwaka wa 3 huu bado anabembeleza namuona takataka tu
 
Mmmh, anaweza kurudi kama haijajjrudia sana, niliwahi kurudi mara 5 kwa namna hii, ila nilipochoka sijarudi mwaka wa 3 huu bado anabembeleza namuona takataka tu
 
Mmmh, anaweza kurudi kama haijajjrudia sana, niliwahi kurudi mara 5 kwa namna hii, ila nilipochoka sijarudi mwaka wa 3 huu bado anabembeleza namuona takataka tu
Naamini atarudi.
Naahidi sitampiga tena.
 

Pole boss wangu. Mie mwenye napata taabu kama yako toka Jo anipige cha mbavu sijaona mbadala wake, nilipo nimejibanza, ila ikatokea aakchika na mume wake wa sasa navuta jiko.. huwa napata taabu sana anapo nisalimia kwa whatsapp alafu profile picture yake kapiga yeye na mumewe huwa naumia sanaaa... natamani nifumbe macho nisione picha ila haina namnaaa 😰😰😰
 
Pole sana mkuu
Nafeel unachopitia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…