Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,549
- Thread starter
-
- #21
Thanks for your advice.Kama kasha move on, hakuna utakachobadili na hata kama akikurudia nothing will ever be the same again.!!
Learn to accept the reality though it real hurts sometimes, nothing lasts forever, even that pain will cease one day.!!
I can feel you..!!
Asante kwa ushauri.Mtafute myajenge upya kabla haijawa too late...kwa mwanamke aliyependa kweli na anayejiheshimu sio rahisi kuanzisha mahusiano mapya mapema
Mmmh, nakosa amani nachotaka we urudi nyumbani, nikufananishe na nani nimemiss ulivyonipa zamanimapenzi..............mapenzi................mapenzi.....mapenzi
Simu hapokei wala sms hajibu. Nikitumia namba nyingine akijua ni mm tu lazima akate hats kublock.Namba yake si unayo?
Wasiliana nae umuombe msamaha..!!
Ni kweli unayosema ila kila binadamu hukosea.Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Asante kwa ushauri.
Sema naogopa haya kumu face maana akikasirika huwa amekasirika ila ntajaribu.
Ameniacha mkuu...mi ndo nilikosea kumzaba makofi nilipomkamata anachat na mwanaume mwingine.Mmeachana?? Au
1 Umeacha
2 Umeachwa
Kama bado unampenda mpigie simu umueleze ukweli
Ndukiiiii
Asante sana.Jitahidi mkuu ili hata ukishindwa usibaki na regrets kwamba hukuwahi kujaribu,naamini atakuelewa kama anakupenda
Hata hivyo hakunaga mkate mgumu mbele ya chai
Naamini atarudi.Mmmh, anaweza kurudi kama haijajjrudia sana, niliwahi kurudi mara 5 kwa namna hii, ila nilipochoka sijarudi mwaka wa 3 huu bado anabembeleza namuona takataka tu
Kila la heri mkuu, afu kosa lenyewe dogo tuNaamini atarudi.
Naahidi sitampiga tena.
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.
Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.
Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.
Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
Naye si ajabu ameshaanzisha relationship kama tano hivi kwa miezi 4Mtafute myajenge upya kabla haijawa too late...kwa mwanamke aliyependa kweli na anayejiheshimu sio rahisi kuanzisha mahusiano mapya mapema
Pole sana mkuuPole boss wangu. Mie mwenye napata taabu kama yako toka Jo anipige cha mbavu sijaona mbadala wake, nilipo nimejibanza, ila ikatokea aakchika na mume wake wa sasa navuta jiko.. huwa napata taabu sana anapo nisalimia kwa whatsapp alafu profile picture yake kapiga yeye na mumewe huwa naumia sanaaa... natamani nifumbe macho nisione picha ila haina namnaaa
Nipe namba zake bikusaidie ππAsante kwa ushauri.
Sema naogopa haya kumu face maana akikasirika huwa amekasirika ila ntajaribu.