Nimemkumbuka Dr. Slaa

Chama kimebaki Instagram, Twitter na JF. Leo twende na membe, kesho tusimame na kamanda lissu. Siku si nying tutaambia tukimbie na makamba...
 
Huyo Dr Slaa wa kipindi hicho akikutana na huyu Dr Slaa wenu wa sasa ambaye ni balozi lazima wapigane na mmoja atamvunja mwenzake ule mkono.
 
Bila shaka Rais wa moyo wako alikuangusha!!
 
Mleta uzi umetumwa?
Uhuru uliokuwepo kipindi kile 2005-2015 ndio uliopo leo?
Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi ya kufanya mikutano ya siasa, je leo hii vyama hivyo vinaruhusiwa?
Unamlaum Mwenyekiti wa CHADEMA, kuna mtu amefilisiwa kama yeye?
Unawalaumu wabunge, katibu mkuu wote wa CHADEMA, unataka watupwe kwenye mifuko, wavunjwe miguu, wafilisiwe? Kuna watu wa upande wa pili au wale wapinzani njaa wamefunguliwa mashitaka na kesi za kila aina kama viongozi wa vyama halisi vya Upinzani?

Wewe mwenyewe umepumua tu kwa kuandika post ya kupongeza au kushabikia upande ule, reverse uone moto wake!

Kukaa kimya bado ni mbinu.
 
Dr slaa alikua mbunifu na mwanasiasa aliejiamini hakuogopa kupigwa mabomu pia alikua mjenga hoja makini ccm wakikua kwenye hofu kila waliposikia dr slaa atakuwa na mkutano na wandishi wa habari au wananchi wa kawaida dr alihamasisha sana wananchi kujiandikisha kupiga kura na kweli wakahamasika .usaliti alioufanya mbowe na kamati kuu yake kuleta kapi la ccm na kumtosa kamanda Dr slaa tena kwa maneno ya kumdhalilisha yeye na familia yake niliumia sana nikaichukia siasa ya nchi hii....Dr slaa kazunguka nchi nzima kutuliza hali ya siasa ndani ya chama baada ya zitto na genge lake kufukuzwa wakati mwingine anapondwa mpaka mawe..wakati huo mbowe na wajumbe wa kamati kuu wamejificha ndani lakini Dr yuko mtaani kuweka hali sawa alafu dakika za mwisho wanaleta jizi la ccm na kulikabizi chama Dr anatukanwa hovyo bila kujua kapiganaje kukijenga chama aisee MUNGU ni mwema amtupi mja wake acha ale mema ya nchi uko aliko chadema walimuona afai basi komaeni na katibu mkuu wenu uyo bubu
 
Siku hizi anatamka maneno "Mheshimiwa Rais, mheshimiwa waziri" Hakuwahi kutamka hivyo kwa miaka 24 iliyopita. Nikikutana naye nitamkumbusha ile hotuba yake pale Igunga.
 
...
Dr Mihogo alimkimbia Lowassa sasa Lowassa karudi aliko sijui itakuwaje
....njoo na hoja zinazo eleweka sio vioja namna dr slaa sio mwanachama wa chama chochote bali ni mtumishi wa umma...uyo lowasa mabadiliko wenu baada yakuwa mmemsafisha mkasema sio fisadi mkaramba uhalo wenu karudi kuwa mwanachama wa ccm...nyakati zingine muwe mnatumia akili zenu mnapotumwa na uyo makengeza wenu
 
Siku hizi anatamka maneno "Mheshimiwa Rais, mheshimiwa waziri" Hakuwahi kutamka hivyo kwa miaka 24 iliyopita. Nikikutana naye nitamkumbusha ile hotuba yake pale Igunga.
.....hahahaaa usisahau kumkumbusha mbowe nani fisadi namba moja tanzania....msigwa alisema mtu atakaemshabikia lowasa akapimwe akili ivi waliozungusha mikono wakiimba mabadiliko lini mtawapeleka milembe?
 
Huyo Dr Slaa wa kipindi hicho akikutana na huyu Dr Slaa wenu wa sasa ambaye ni balozi lazima wapigane na mmoja atamvunja mwenzake ule mkono.
..... hahahaaa kweli ndg Kama ambavyo mbowe aliesema lowasa fisadi na mbowe aliesema lowasa ndie mabadiliko na mkombozi wa chadema hakika siku wakikutana hapo ufipa lazima ngumi za moto zipigwe mpaka mmoja kengeza liishe..
 
Wabunge wote wameruhusiwa kufanya siasa kwenye majimbo yao. Vyama vyote vimeruhusiwa kufanya mikutano ya ndani. Kutoa press release pia kumebaniwa? Katibu mkuu anafanya hivyo? Sema kweli mashinji anaweza hata kujenga hoja yule?
 
Sijui niongeze nini hapo? Ndio maana mpaka Leo CHADEMA hawana wanachosimamia, hoja ya ufisadi iliyowapa jina inawatafun wenyewe saiz
 
Slaa kaondoka chadema kwa ustadi mkubwa sana, lengo ni kulinda reputation yake atakapukuwa nje ya chadema, na sasa anakula matunda ya kazi aliyoifanya.
Slaa nae ana reputation??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…