Nimemkatalia lakini ananisumbua nifanyaje?

Nimemkatalia lakini ananisumbua nifanyaje?

Kumbe kuna watu wenye heshima hapa jamvini sikujua hilo kwani nilijua mods ndo wenye heshima maana wanaweza kukuweka kifungoni muda wowote wautakao.
 
Sasa umekuja sema huku ili aongope au ajinyonge? hakukuonea Haya wewe anaekuona machoni ataona haya Kwa watu wanaemjua kwa tuu ambalo wala Sio lake, na wewe pia una Ashki majununi ...
 
Huyo dada akipita hapa naomba anipm huwa nina dozi ya wadada kama hawa
 
Mambo Yenu Malizaneni Huko Huko Na Mkichomana Visu Huko Huko
 
Demu wa mtaa tena majirani akusumbue fb na jf? not personally? not through your mobile?

why do i find this hard to believe?
 
Kama anakusumbua dawa yake mle kavukavu akiendelea kukusumbua mle tena kavukavu yani akija tena mle kavukavu mpka ataacha kukusumbua
 
Usilogwe kutoa conversation ya pm kisha uiweke public ili kumkomoa ni kosa la jinai Jf utapigwa BAN ya mwaka.
 
Watu namna hii ndo tunataka wawe wabunge au viongozi waandamizi hapo oktoba wataweza kweli kukabiliana na shuruba za uongozi zikiwemo lawama toka kwa wananchi . Ikiwa jambo dogo kama hili umeshindwa kulimaliza mwenyewe unataka jamii ikusaidie je kwa mawazo haya ni haki kweli kuulaumu uongozi uliopo.
 
Watu namna hii ndo tunataka wawe wabunge au viongozi waandamizi hapo oktoba wataweza kweli kukabiliana na shuruba za uongozi zikiwemo lawama toka kwa wananchi . Ikiwa jambo dogo kama hili umeshindwa kulimaliza mwenyewe unataka jamii ikusaidie je kwa mawazo haya ni haki kweli kuulaumu uongozi uliopo.

Na hapo ndio anatongozwa na mwanamke. . . . . .ingekuwa anatongozwa na mwanaume shababi. . . .Inatia mashaka sana!!!!
 
Ngumu kumeza.. hivii kwenye hii dunia ya leo kuna mtu anakataa papuchi!!!haswaa we kuchangumu
 
Na hapo ndio anatongozwa na mwanamke. . . . . .ingekuwa anatongozwa na mwanaume shababi. . . .Inatia mashaka sana!!!!
Kaazi kweli kweli aweza kuwa alitoa mada hii kwa kufurahisha jukwaa lkn angejua haiko sahihi hasa wakati huu tunaohitaji mabadiliko. Ipo haja ya kubadilika kitabia na mtazamo si kwa jinsi hii ya mtoa mada.
 
Back
Top Bottom