Nahofia nikimpa tamu balah litakuwa kubwa maana lazima anase
Hapa kuna hogo sio bamia
Hata PM namrarua mbaya
ila anashupalia ni king'ana'anizi kama luba sasa najiuliza ningekuwa
nimemwonjesha asali si ndio ingekuwa balaaa
wenda kakukatalia ndo unakuja kumchana hapa kumbe wammezea mate????
ukiona hivyo ujue anakupenda wewe,huyo mshikaji wake hampendi.
Waarabu wa pemba nyie.
Amejuaje ID yako jf nawe umeijuaje yake?
Malizeni mliyoyaanza tu
hadi fb??? mnafahamiana vizuri nyie....
kama anakufahamu kupitia fb amejuaje upo jf na ID unayotumia???? by the way pole
Yaani mkuu ndo unazidi kujifangilia kwa huyo demu,bora ungesema unakibamia tu.sasa hilo hogo lazima ajitahidi alipate sababu umejisifia kuwa unayaweza
Basi sawa!!Id yangu anaijuwa na yake naijuwa hii inatoka na ukaribu wetu hapo kabla ya kubadili mwelekeo na kuanza ung'ang'anizi wa kustajabisha
Hapa hapa mnapotupia michango juu ya swala hili anaipitia najuwa
Lakini hajatia neno zaidi ya kuniPM na kuniomba nisimweke hadharani atapata aibu kwa heshima aliyonayo hapa kapetini.