youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Mu hali gani wanajukwaa?
Nahisi ukisoma title ya hii thread kidogo utastuka, lakin ukweli ni kwamba;Niliamua kumkandia [kumharibia] rafiki yangu kwa msichana wake ili mimi nimpate, na nilifanya ivo kwa sababu kwanza yule msichana alikuwa na upendo wa dhati lakini alipenda asipopendwa, alikuwa mtu wa kuomba msamaha hata kila anapobebeshwa lawama.
TATIZO yule rafiki yangu, hakuujua umuhimu wa mwanamke,alipenda sana kumlaumu hata kwa kosa dogo anaweza kumsimanga mpaka unamkuta anakosa raha,kwa kutambua anapendwa alimnyanyasa kwa kujua kwamba hawezi kumuacha.
Jambo ambalo lilinifanya nikawa naumia kumuona mtoto mzuri akiteswa ndipo nilipoamua kuingiza swaggz [kumtongoza] na kumshauri aachane na yule bwana wake.
Na mpaka sasa anaishi/tunaishi kwa raha kabisa, sema kuna tatizo ambalo limejitokeza ni kwamba yule rafiki yangu sasa hatuongei nae, ndo nawaza je nivunje penzi langu na huyu demu ili nirudishe urafiki na jamaa yangu au niendeleze mapenzi na msichana urafiki wetu na jamaa ufe?
Nahisi ukisoma title ya hii thread kidogo utastuka, lakin ukweli ni kwamba;Niliamua kumkandia [kumharibia] rafiki yangu kwa msichana wake ili mimi nimpate, na nilifanya ivo kwa sababu kwanza yule msichana alikuwa na upendo wa dhati lakini alipenda asipopendwa, alikuwa mtu wa kuomba msamaha hata kila anapobebeshwa lawama.
TATIZO yule rafiki yangu, hakuujua umuhimu wa mwanamke,alipenda sana kumlaumu hata kwa kosa dogo anaweza kumsimanga mpaka unamkuta anakosa raha,kwa kutambua anapendwa alimnyanyasa kwa kujua kwamba hawezi kumuacha.
Jambo ambalo lilinifanya nikawa naumia kumuona mtoto mzuri akiteswa ndipo nilipoamua kuingiza swaggz [kumtongoza] na kumshauri aachane na yule bwana wake.
Na mpaka sasa anaishi/tunaishi kwa raha kabisa, sema kuna tatizo ambalo limejitokeza ni kwamba yule rafiki yangu sasa hatuongei nae, ndo nawaza je nivunje penzi langu na huyu demu ili nirudishe urafiki na jamaa yangu au niendeleze mapenzi na msichana urafiki wetu na jamaa ufe?