BSF fly
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 344
- 126
Last week nilipost tittle iliyo kuwa ina sema. Mke wangu ananifanyia vituko ili tuachane
Hii ilitokana na kumfuma na sms za kimapenzi na wanaume wa 2 tofauti.
Ukweli nilishindwa pata muafaka nae,nikaita watu wazima tena wanao tujua toka uchumba,nina ndoa nae ya miaka 8 sasa.
Nilitoa yangu ya moyoni kwa niliyo shuhudia,zamu yake ya kuongea nae alitoa yake ya moyoni.
Hakuniomba radhi kwa hayo,mimi ndio nilimuomba radhi na kulazimisha yaishe,kufika nyumbani , akanijibu wembe ni ule ule,nijue 50 zangu.
Akaendelea kuniblock kwenye simu,hataki kusikia chochote.
Mungu si athumani,jana tarehe 1.9,kwa kutumia utundu ule ule wa it,nilinasa picha akiwa na yuleyule mgoni wangu niliye kuta sms,nikaona paa la bar.
Kwa kuwa huyo mgoni nalijua gari lake,nilianza kazi ya kulisaka kila guest nikiamini atakuwa ndo analitumia.
Toka nilipo pata picha mida ya saa 8 , nimekuja kulipata hilo gari saa 2 guest moja imejificha sana.
Nika ita jina la huyo mgoni kwenye korido,akaitika,nikajua chumba walichopo,nikawasihi wafungue wakagoma.Sikua na uhakika kana ni kweli mke wangu yupo hapo au la.Watu wakajaa kunisihi niondoke,nikagoma.
Baadae nikajiwa na wazo nirukie kweye vent yalango nichungulie,nilipo muona mke wangu anahangaika na hajui la kufanya,nikashuka chini na kuingia mazima na mlango,nikampiga sana ngumi za uso,yule mgoni akaacha hadi gari akakimbia.
Mke nae akaokolewa na kukimbia ...
So niko kwa bro wangu mmoja.
Nahitaji msaada kwa wenye uzoefu,namuachaje huyu mke.ndoa yetu ni ya ki rc,japo mm si mu rc.
Ushauri pliz ...
Hii ilitokana na kumfuma na sms za kimapenzi na wanaume wa 2 tofauti.
Ukweli nilishindwa pata muafaka nae,nikaita watu wazima tena wanao tujua toka uchumba,nina ndoa nae ya miaka 8 sasa.
Nilitoa yangu ya moyoni kwa niliyo shuhudia,zamu yake ya kuongea nae alitoa yake ya moyoni.
Hakuniomba radhi kwa hayo,mimi ndio nilimuomba radhi na kulazimisha yaishe,kufika nyumbani , akanijibu wembe ni ule ule,nijue 50 zangu.
Akaendelea kuniblock kwenye simu,hataki kusikia chochote.
Mungu si athumani,jana tarehe 1.9,kwa kutumia utundu ule ule wa it,nilinasa picha akiwa na yuleyule mgoni wangu niliye kuta sms,nikaona paa la bar.
Kwa kuwa huyo mgoni nalijua gari lake,nilianza kazi ya kulisaka kila guest nikiamini atakuwa ndo analitumia.
Toka nilipo pata picha mida ya saa 8 , nimekuja kulipata hilo gari saa 2 guest moja imejificha sana.
Nika ita jina la huyo mgoni kwenye korido,akaitika,nikajua chumba walichopo,nikawasihi wafungue wakagoma.Sikua na uhakika kana ni kweli mke wangu yupo hapo au la.Watu wakajaa kunisihi niondoke,nikagoma.
Baadae nikajiwa na wazo nirukie kweye vent yalango nichungulie,nilipo muona mke wangu anahangaika na hajui la kufanya,nikashuka chini na kuingia mazima na mlango,nikampiga sana ngumi za uso,yule mgoni akaacha hadi gari akakimbia.
Mke nae akaokolewa na kukimbia ...
So niko kwa bro wangu mmoja.
Nahitaji msaada kwa wenye uzoefu,namuachaje huyu mke.ndoa yetu ni ya ki rc,japo mm si mu rc.
Ushauri pliz ...