Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,723
- 106,996
Oa wewe, acha woga. Au labda wewe mwenzetu ni malaika, huwezi kufanya makosa?
Sio woga wala mimi si malaika.
Sitaki habari za kucheza mchezo wa kuigiza tu.
Oa wewe, acha woga. Au labda wewe mwenzetu ni malaika, huwezi kufanya makosa?
hahaaa
ukishajijua mhuni, unaoa mhuni mwenzio then mnagawana masaa ya kazi.
dah mkuu kila siku wewe unatafuta sababu tu ya kutoa tu hahaha...
Kobongobongo usipooa / olewa kuna stigma ya uhuni.
I turn that stigma into glory.
Anaweza kumwambia rafiki yake, akimuuliza mkewe na akamjibu kuwa rafiki yake ni muongo, anamsingizia kwa kuwa alimtaka akamkataa, itakula kwake. Bora akae kimya tupiga kimya!ndio maana wanaume tumeumbwa na koromeo(hapa namaanisha hiyo kitu wazungu wanaita adam's apple),kazi yake ni kuzuia mwanaume kupayuka kila ajuacho na awazacho!narudia tena piga kimya mwanaume kusutwa haipendezi
Wanawake!!!........ Wakat mwingne tunawaonea huruma tu. Hawa sio viumbe yaan ukimkuta mwanamke anagombana na nyoka bora umsaidie nyoka..... Hello chalii papaa/ au papaa chalii ww meza mdeki kamanda na hlo duhuri achana nalo hela ya dhambi hyo.
Kwa nini?
Hujaona mtu hajaoa na anahonga kuanzia mume wa mtu mpaka mke, na mume mwenyewe anam pimp mke wake?