Kwa maisha ya sasa hii tabia siyo nzuri kabisa.Nilikuwa na hii tabia kipindi Cha nyuma, utakuta naenda kwa marafiki bila taarifa naenda kwa ndg bila taarifa sasa nawao wakawa wanalipiza yaani wakawa wanakuja Nyumbani bila Taarifa kitendo kilichopelekea Maza kukasirika Sana hakujua kama Mimi huwa naenda kwa hao watu bila kuwataarifu
Jamani mtusamehe sisi wengine bado tunaishi maisha Ya Ujima ambayo technolojia bado Iko chini
Nakumbuka nikiwa kijijini Enzi hizo tulikuwa tunafunga safari kuelekea kwa Babu ambaye alikuwa anaishi mbali na Kijiji chetu na tulikuwa tunaenda bila taarifa lakini Babu alitupokea kwa shangwe na vigeregere Hadi Kuku mtachinjiwa
Note: tulipenda kwenda kwa Babu kwasababu ya maziwa Babu alikuwa na mifugo Mingi Sana.
Tafuta pesa mkuu.Mi sio maskini asee ila sipendi upumbavu wa kuja kwangu bila taarifa hizo ni dharau asee
Pesa niazo sitaki watu waje kwangu bila taarifa ni hayo tuTafuta pesa mkuu.
Kuna watu hilo hawajali mkuu...ni vile tu hujawahi kukumbana naoEbu twende pole pole, wewe ni wa kiume na huishi na mkeo, na Mama Mkwe ni wa Ke, anakuja kwako wakati Binti yake na labda wajukuu hawapo, anataka nini?? Lakini pia kuna kitu kinaitwa, Maisha yake yapoje?? Ktk kufuata taratibu za kutembelea mtu , tusije kukulaumu bure au kumlaumu yeye bure.
Na hata hiyo ya Shemeji kuja usiku na umri wenu upo sawa, kipato kipo sawa hivyo kuwa na kitu kinachowaunganisha , huo usiku au kwa kuwa umeona dada
Tufuate tu taratibuu..regardless ww ni shemej,mama mkwe au wifi...taarifa ni kitu cha muhimuYani Mimi binafsi naona ni dharau kubwa sana hakuna kingine ,umeongea point
Mama mkwe hana ustaarabu,mke wangu anakaa anaanza kumlaumu babake kwa upumbavu ambao huyu mama kampa mwanae ,baba mkwe wangu ni mtu safi sana zaidi ya miaka 10 naishi nae vizuri sana ananipenda ,nampenda hila sio huyu shemeji na wadogo zake ni wapumbavu sanaEbu twende pole pole, wewe ni wa kiume na huishi na mkeo, na Mama Mkwe ni wa Ke, anakuja kwako wakati Binti yake na labda wajukuu hawapo, anataka nini?? Lakini pia kuna kitu kinaitwa, Maisha yake yapoje?? Ktk kufuata taratibu za kutembelea mtu , tusije kukulaumu bure au kumlaumu yeye bure.
Na hata hiyo ya Shemeji kuja usiku na umri wenu upo sawa, kipato kipo sawa hivyo kuwa na kitu kinachowaunganisha , huo usiku au kwa kuwa umeona dada
shasema zaman mkuu..mambo yanabadilikahuna busara ,hujakutana na shida ukakwama mahali,zamani kulipokuwa hamna magari watu wanatembea kwa miguu,usiku ukianza kuingia anaenda nyumba yoyote karibu na kuomba alale ili kesho aendelee na safari ,na usiku anakula hadi maji ya kuoga na asubuhi mapema anaandaliwa msosi wa nguvu ili aendelee na safari na siyo ndugu Wala shemeji.
Ila wewe shemeji kaja umemfukuza Hadi kuanzisha thread.
Una roho mbaya na hutaendelea utabaki hivo hivo
Kwa nini mkuu??Isingekuwa chai ningekutukana ujue
Ujinga huu na huyo mwanamke nae anakuchekeaa huku umemfukuza mama ake ingenikuta mm Ni mkeo aise nakuachia vumbi uwez mtimua mam angu eti kisa misozi ..huyu mke wako ajielewi kbsa pole tu kwa umazikini uliokidhiria
Hawawezi fukuzwa never and ever najua hata kama sitakuwepo dunianiWatoto wako pia watafukuzwa siku wakienda kwa huyo shemeji yako. Malipo ni hapa hapa duniani usijitoe ufahamu.
Mi sio maskini nafuata protocol za kuishi,kama mi maskini kesho asubuhi nenda ikulu utake kuonana na mama Samiha bila appointment uone utakachoambiwa. Fala weeUmaskini mbaya sana aisee.
Ndio unaokusumbua Mkuu.
Sina roho mbaya ila sipendi dharau ya mtu kuja kwangu bila taarifa.Pole kwa roho mbaya
Umetamani ungekua mkewake duh.Ujinga huu na huyo mwanamke nae anakuchekeaa huku umemfukuza mama ake ingenikuta mm Ni mkeo aise nakuachia vumbi uwez mtimua mam angu eti kisa misozi ..huyu mke wako ajielewi kbsa pole tu kwa umazikini uliokidhiri
Najua huu uzi wako ni kuchangamsha tu genge though watu wameuchukulia very serious mpaka mishipa ya shingo inataka kuwapasuka.......Kwa nini mkuu??
Mimi ndo nimemtimua sasa mkuu,huyu mother nikimwonaga ananipa hasira sana simpendi na siwezi mpenda never and everNajua huu uzi wako ni kuchangamsha tu genge though watu wameuchukulia very serious mpaka mishipa ya shingo inataka kuwapasuka.......
Hakuna binadamu hasa jamii yetu ya Kiafrika anaweza kufanya hii hasa kumtimua mama mkwe. Never
Mimi ndo nimemtimua sasa mkuu,huyu mother nikimwonaga ananipa hasira sana simpendi na siwezi mpenda never and ever