Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Tabia ya hii familia ya mke wangu nashindwa kuielewa.
Alianza mama Mkwe kuja nyumbani kwangu bila taarifa,siku hiyo nimejipumzisha chumba cha wageni nashangaa naitwa na mama Mkwe hapo nipo na boksa tu nikajiuliza jinsi ya kutoka nje manake kwa mfumo wa nyumba yangu ,chumba ambacho nililala kipo nje kabisa,ikabidi nimtume msela aniletee nguo ,hilo likapita ila nilimwambia wife amchane mother wake na sitaki nimwone kwangu,kesho yake mother akaondoka bila kuaga manake alinikosea sana kuja nyumbani kwangu bila taarifa.
Juzi nimelala mida ya saa 5 usiku nashangaa naitwa ,kutoka nje namkuta shemeji yangu wa kiume sijui katoka wapi,nikamuuliza kulikoni usiku huu kuja nyumbani bila taarifa!!?
Anajiuma uma tu,nikamwambia umekosa adabu rudi ulikotoka, akaondoka kinyonge
Nimeona niwatimue manake watazoe hii tabia ya kukurupuka tu na kuja maskani kwangu bila taarifa wakati Mimi sinaga hiyo tabia ya kwenda kwao bila taarifa.
Au nimekosea hapo wakuu!!??
Alianza mama Mkwe kuja nyumbani kwangu bila taarifa,siku hiyo nimejipumzisha chumba cha wageni nashangaa naitwa na mama Mkwe hapo nipo na boksa tu nikajiuliza jinsi ya kutoka nje manake kwa mfumo wa nyumba yangu ,chumba ambacho nililala kipo nje kabisa,ikabidi nimtume msela aniletee nguo ,hilo likapita ila nilimwambia wife amchane mother wake na sitaki nimwone kwangu,kesho yake mother akaondoka bila kuaga manake alinikosea sana kuja nyumbani kwangu bila taarifa.
Juzi nimelala mida ya saa 5 usiku nashangaa naitwa ,kutoka nje namkuta shemeji yangu wa kiume sijui katoka wapi,nikamuuliza kulikoni usiku huu kuja nyumbani bila taarifa!!?
Anajiuma uma tu,nikamwambia umekosa adabu rudi ulikotoka, akaondoka kinyonge
Nimeona niwatimue manake watazoe hii tabia ya kukurupuka tu na kuja maskani kwangu bila taarifa wakati Mimi sinaga hiyo tabia ya kwenda kwao bila taarifa.
Au nimekosea hapo wakuu!!??